figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Heshima kwenu wakuu,
Tangu asubuhi Mohammed Dewji anatafutwa bila mafanikio, atakayemuona alete mrejesho.
Ulisikika mlio wa Bunduki kabla risasi kupaa angani
Watekaji walimuhitaji yeye, na sio BodyguardHatembeagi na bodyguard?
Mkuu watu wengine wanapenda kutafuniwa kila kitu wao ni kumeza tuNdio anatafuta hivyo hata humu ni sehemu mojawapo ya kupata habari.
Yaan anajiamini kutembea na silaha tajiri yuleYule mfanyabiashara kule Tarime yeye aliwapiga Risasi bila msaada wa bodyguard iweje yeye ashindwe kujihami?
Nchi ya matukio ya kuwasahaulisha watanzania juu ya matumizi mabaya ya pesa zao wanazolipa kodi kutumika vibaya kuwanunua wapinzani kurudia chaguzi kwa gharama kubwa huku huduma za kijamii zikizidi kudorola, wanatengeneza Matukio ili watanzania wasahau vingi vioja wanavyofanyiwa na CCM kwa sasa.Naomba zibaki kuwa ni tetesi tu, MUNGU Ibariki TANZANIA.
Jamani wasimuueWatekaji walimuhitaji yeye, na sio Bodyguard
Ndio uzidishe sala zako..... afu ujue nakutafuta sana...!Jamani wasimuue
Njia pekee ya kuwakomesha wasiojulikana ni kuwatandika Risasi popote wanapojitokeza itawaogopesha waache kuonea watu.Yaan anajiamini kutembea na silaha tajiri yule
Namuonaga kama hana shida hivi halaf simba mwenzetu lo,,wanitafutia nini slim uniteke ama?Ndio uzidishe sala zako..... afu ujue nakutafuta sana...!
hapana. tutete!Namuonaga kama hana shida hivi halaf simba mwenzetu lo,,wanitafutia nini slim uniteke ama?
Wanataka SIMBA yetu isichukue Ubingwa!Namuonaga kama hana shida hivi halaf simba mwenzetu lo,,wanitafutia nini slim uniteke ama?
Itakuwa alipaa angani na hiyo risasiHeshima kwenu wakuu,
Tangu asubuhi Mohammed Dewji anatafutwa bila mafanikio, atakayemuona alete mrejesho.
Ulisikika mlio wa Bunduki kabla risasi kupaa angani