Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hili ni tukio la kwanza?Au kwasababu MO ni mtu tajiri na maarufu?!Hili si tukio dogo. Ni vyema serikali ikalibeba kwa uangalifu mzito.
Hata mie najiuliza[emoji15]Naonaga mo anajiachia ina maana hatembeagi na walinzi anatembea kama sisi kapuku
Eti jamaniHata mie najiuliza[emoji15]
Diamond anawalinzi vp bilionea Mdogo Tz.......
Mfanyabiashara wa huko Tarime mara yule ndugu Zacharia yeye hakuwa na walinzi walimvamia akiwa peke yake lakini aliwatwanga Risasi za kutosha mpaka leo wapo hospt huko South Africa hawana dalili za kupona leo wala kesho ni vyema wafanyabiashara wakubwa waishi kimachale wawe fiti ikibidi wawe wanakula mazoezi ya kupambana na wasiojulikana.Naonaga mo anajiachia ina maana hatembeagi na walinzi anatembea kama sisi kapuku
Mbahili sana huyu dogoHata mie najiuliza[emoji15]
Diamond anawalinzi vp bilionea Mdogo Tz.......
Kabisaa tena mo alitakiwa atembee na bomu kabisa anawarushiaMfanyabiashara wa huko Tarime mara yule ndugu Zacharia yeye hakuwa na walinzi walimvamia akiwa peke yake lakini aliwatwanga Risasi za kutosha mpaka leo wapo hospt huko South Africa hawana dalili za kupona leo wala kesho ni vyema wafanyabiashara wakubwa waishi kimachale wawe fiti ikibidi wawe wanakula mazoezi ya kupambana na wasiojulikana.
Kupinga nini? Fafanua vizuriAfu hawa kwa nini wao ni kupinga tu au wanajua linalo endelea
Duh! Hili jibu chief ni balaaWatekaji walimuhitaji yeye, na sio Bodyguard