Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Nchi ya matukio ya kuwasahaulisha watanzania juu ya matumizi mabaya ya pesa zao wanazolipa kodi kutumika vibaya kuwanunua wapinzani kurudia chaguzi kwa gharama kubwa huku huduma za kijamii zikizidi kudorola, wanatengeneza Matukio ili watanzania wasahau vingi vioja wanavyofanyiwa na CCM kwa sasa.
Mtanzania husahau haraka sana. Wala huhitaji kuweka tukio lolote. Wacheni kukariri. Na hata asiposahau hana uwezo wa kufanya chochote.
 
Habari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?

Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?

Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?

Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?

Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?

Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???

Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!
Hata mimi nimeshindwa kumuelewa. Yaani hadi leo hajajua umuhimu wa Jamii Forum. Kwenye zile habari za CCM na CDM naona ndo huwa anaitumia vizuri zaidi. Kumbe hajui social media ndo sehemu ya kwanza kupata taarifa, huko kwingine utazipata ukiwa tayari una zile ABC za tukio. Sometimes hata zile details za ndani unaweza usizipate kwingine lakini kwenye social media ukapata.
 
Hata mimi nimeshindwa kumuelewa. Yaani hadi leo hajajua umuhimu wa Jamii Forum. Kwenye zile habari za CCM na CDM naona ndo huwa anaitumia vizuri zaidi. Kumbe hajui social media ndo sehemu ya kwanza kupata taarifa, huko kwingine utazipata ukiwa tayari una zile ABC za tukio. Sometimes hata zile details za ndani unaweza usizipate kwingine lakini kwenye social media ukapata.
JF wapo faster kuliko chombo chochote kwa bahati nzuri humu JF vyombo vyote vya dola wamo ni wanachama wazuri hutoa taarifa bila chenga.
 
Pesa inayotumika kwa mambo yasiyo na Tija kwa Taifa kwa sasa ni nyingi Sana kuliko Tawala zote zilizopita, mpaka sasa yameteketea mabilioni ya pesa ni pesa ambazo zingeweza kujenga daraja toka mwanza mpaka ukerewe na ukara pia kujenga daraja toka dsm mpaka Zanzibar na kujenga viwanja bora vya michezo wa kimataifa kila mkoa na baadhi ya wilaya, pia kujenga Hospt kubwa ya Rufaa Dodoma na kila mkoa, lakini CCM wamekalia kutumia pesa za umma kwenye siasa za maji taka kudhoofisha chadema na kuua upinzani huku madalali wa siasa akna Le mutuz, MSIBA wa Jamvi la habari wakineemeka kupitia udalali wa kuwanunua wapinzani pia kutengeneza propaganda zisizokwisha.
Tumeshaanza na TAZARA, Ooooh! Sorry... Ni Mfugale Bridge
 
Au ni yanga wamemteka[emoji23][emoji23][emoji23]via wasiojulikana nashauri wananch tukigundua tuwauwe tuu awa wasiojulikan popot watakapo tokea kutak kufany tukio
 
Back
Top Bottom