Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Kama "magenius" huko TISS wamewahi kuchemsha vichwa inabidi this time "wazichange" kisawasawa. Naiangalia kiuchumi, wawekezaji, jamii ya waasia na taswira inayoenda kukamilishwa vichwani mwa Watanzania. Rais wetu JPM nakuombea Mungu aseme na wewe ili uchukue hatua sahihi na kuokoa taswira ya Taifa letu na kama lengo ni kukuchafua "wachafue" . Tumuombee MO awe salama.
Watanzania wengi hamjielewi, hili ni jukumu la Polisi kumpata Mo na kuwakamata watekaji.

Kazi ya Tiss ni kutowa information kabla ya tukio kutokea, Tiss hawana power of arrest

By the way Makonda ndio mwenye uwezo wa kumpata Mo alipo, narudia Makonda akamatwe mara moja kama kweli jeshi la Polisi linajitambuwa.
 
Kama "magenius" huko TISS wamewahi kuchemsha vichwa inabidi this time "wazichange" kisawasawa. Naiangalia kiuchumi, wawekezaji, jamii ya waasia na taswira inayoenda kukamilishwa vichwani mwa Watanzania. Rais wetu JPM nakuombea Mungu aseme na wewe ili uchukue hatua sahihi na kuokoa taswira ya Taifa letu na kama lengo ni kukuchafua "wachafue" . Tumuombee MO awe salama.
Hakika tuombe sana Mungu hawa washenzi wasuje haribu taswira ya nchi jamani
 
Habari nzito sana hii
Mo ni mkubwa sana
Ila vipi hakuwa na ulinzi?

Tanzania sio salama nahis
Epushia mbali asishurike
 
Kama "magenius" huko TISS wamewahi kuchemsha vichwa inabidi this time "wazichange" kisawasawa. Naiangalia kiuchumi, wawekezaji, jamii ya waasia na taswira inayoenda kukamilishwa vichwani mwa Watanzania. Rais wetu JPM nakuombea Mungu aseme na wewe ili uchukue hatua sahihi na kuokoa taswira ya Taifa letu na kama lengo ni kukuchafua "wachafue" . Tumuombee MO awe salama.
Kuna maombi Mungu huyapokea kwa shingo upande
 
Back
Top Bottom