Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,910
Wazee vipi??
Mbona inatisha!!
Tupe updates basi!!
Mbona inatisha!!
Tupe updates basi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana nauliza tu, hivi ikishindikana kuwaona wasiojulikana, huwezi kuwaona kwa utaalam mwingine?😀😀😀😀natania...Hebu fanya maarifa mdau tuzipate
Sidhani kama alikuwa hana walinzi. Inawezekana walizidiwa ujanja.Hata mie najiuliza[emoji15]
Diamond anawalinzi vp bilionea Mdogo Tz.......
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbahili sana huyu dogo
[emoji23][emoji23][emoji23]nao wamejiandaa wasionekaneMshana nauliza tu, hivi ikishindikana kuwaona wasiojulikana, huwezi kuwaona kwa utaalam mwingine?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]natania...
Watanzania wengi hamjielewi, hili ni jukumu la Polisi kumpata Mo na kuwakamata watekaji.Kama "magenius" huko TISS wamewahi kuchemsha vichwa inabidi this time "wazichange" kisawasawa. Naiangalia kiuchumi, wawekezaji, jamii ya waasia na taswira inayoenda kukamilishwa vichwani mwa Watanzania. Rais wetu JPM nakuombea Mungu aseme na wewe ili uchukue hatua sahihi na kuokoa taswira ya Taifa letu na kama lengo ni kukuchafua "wachafue" . Tumuombee MO awe salama.
Hivi diamond wale ni walinzi au msindikizaji mwenye kifua??Mbahili sana huyu dogo
Hakika tuombe sana Mungu hawa washenzi wasuje haribu taswira ya nchi jamaniKama "magenius" huko TISS wamewahi kuchemsha vichwa inabidi this time "wazichange" kisawasawa. Naiangalia kiuchumi, wawekezaji, jamii ya waasia na taswira inayoenda kukamilishwa vichwani mwa Watanzania. Rais wetu JPM nakuombea Mungu aseme na wewe ili uchukue hatua sahihi na kuokoa taswira ya Taifa letu na kama lengo ni kukuchafua "wachafue" . Tumuombee MO awe salama.
Utaambiwa hazipoJengo halina camera za nje?? Ili tupate pa kuanzia kumsaka!!
Kuna maombi Mungu huyapokea kwa shingo upandeKama "magenius" huko TISS wamewahi kuchemsha vichwa inabidi this time "wazichange" kisawasawa. Naiangalia kiuchumi, wawekezaji, jamii ya waasia na taswira inayoenda kukamilishwa vichwani mwa Watanzania. Rais wetu JPM nakuombea Mungu aseme na wewe ili uchukue hatua sahihi na kuokoa taswira ya Taifa letu na kama lengo ni kukuchafua "wachafue" . Tumuombee MO awe salama.
Wangefanya nini asa we unafikiria wakati watu wenyewe hawajulikani si wanaweza wakawa Malaiaka haoHatembeagi na bodyguard?