Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Njia rahisi ya ku win ni kuwahi kumuona adui!! Pia Ndio maana hata yule mzee kule tarime aliwin the situation. Firefirefire them.
 
apo ndipo nnapochoka na matajiri wa bongo.... badala PESA IWATUNZE WENYEWE WANATUNZA PESA
tafuta bullet proof car gym weka nyumbani
ukitishiwa tuu unajifungia ndani ya gari!!!

pole yake wajanja baada ya kuusoma mchezo walilala mbele jiwe lkawakosa....
 
Hakuna hapo kuna mchezo unachezwa. Haiingii akilini kuwa ametekwa, huenda kuna mpango unafanywa juu ya mtu fulani, I'll ikitokea watu tujue aaah kawaida, mbona MO nae alitekwa!! Lakini hakuna siri chini ya jua kila kitu kitakuwa peupe muda sio mrefu. La tatu kwanini MO anaishi maisha ya aina hiyo? Hivi kweli yeye hajijui kuwa na Tycoon, au anazani kuishi hivyo ndio kutamfanya apendwe? Lazima aamue kuishi tofauti kabisa, tena tofauti sana. Haiwezekanj MO akashindwa kuwa na fitness Center kwenye kasri lake, ok hana. Basi haiwezekani akawa hana bodyguard anapotoka ndani ya viunga vya kasri lake, jamani MO ni nembo ya taiga letu.
Natoa angalizo kwa wanaofanya huu mchezo, wanaliangamiza taifa. Wasidhanie ni suala dogo, hakuna wawekezaji watakaokuja Tanzania kuwekeza na hata wakija watakuja vibaraka wao.
Ni nani aneapanga ujinga huu, na kwanini wanamchekea? Baba wa Taifa alisema, ukizoea kula nyama ya watu, hautaacha. Wamezoea kuwateka akina Ben Sanane, Dr Ulimboka na wengine kuwaua kabisa, sasa dhambi inatamalaki wameanza kutekena wenyewe kwa wenyewe. Amini nakuambia kila kitu kitakuwa wazi, huenda wamemtaka kwa kumtisha ili aisaidie kifedha jamii , taasisi au kikundi cha watu fulani itajulikana. Sitaki kwenda mbali sana, ila anaepanga huu mchezo, lazima akamatwe ashtakiwe na kufungwa. Labda tu kama kuna baraka ya Mungu. Acha tu niingie mtaani kutafuta riziki ya kila siku.
 
Mabilionea 25 wa Afrika mwaka 2017:
1. Aliko Dangote, Nigeria
Utajiri: $12.2 bilioni
2. Nicky Oppenheimer, Afrika Kusini
Utajiri: $7 bilioni
3. Mike Adenuga, Nigeria
Utajiri: $6.1 bilioni
4. Johann Rupert, Afrika Kusini
Utajiri: $6.3 bilioni
5. Nassef Sawiris, Misri
Utajiri: $6.2 bilioni
6. Christoffel Wiese, Afrika Kusini
Utajiri: $5.9 bilioni
7. Nathan Kirsch, Swaziland
Utajiri: $3.9 bilioni
8. Naguib Sawiris, Misri
Utajiri: $3.8 bilioni
9. Isabel dos Santos, Angola
Utajiri: $3.1 bilioni
10. Issad Rebrab, Algeria
Utajiri: $3 bilioni
11. Mohamed Mansour, Misri
Utajiri: $2.7 bilioni
12. Koos Bekker, Afrika Kusini
Utajiri: $2.1 bilioni
13. Allan Gray, Afrika Kusini
Utajiri: $1.99 bilioni
14. Othman Benjelloun, Morocco
Utajiri: $1.9 bilioni
15. Mohamed Al Fayed, Misri
Utajiri: $1.82 bilioni
16. Patrice Motsepe, Afrika Kusini
Utajiri: $1.81 bilioni
17. Yasseen Mansour, Misri
Utajiri: $1.76 bilioni
18. Folorunsho Alakija, Nigeria
Utajiri: $1.61 bilioni
19. Aziz Akhannouch, Morocco
Utajiri: $1.58 bilioni
20. Mohammed Dewji, Tanzania
 
Back
Top Bottom