okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,641
Halaf kwanini asitengeneze gym kwake nae
Ndo nashangaa, kwann asiwe na gym ya home kwake, wakati hapa dar kuna matajiri wadogo ambao wanamiliki private gym home kwao, ubahili mwingine una-cost, itakuwa maybe ametekwa na kikundi cha majambazi kinachotaka pesa ili aachiwe, au kama katekwa na wanasiasa, bhasi itakuwa hajui kuishi kinafiki na wanasiasa, Mengi anajua kuishi kinafiki na wanasiasa ndo maana hatekwi. Mama Sabrina Mshana Jr