Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Halaf kwanini asitengeneze gym kwake nae


Ndo nashangaa, kwann asiwe na gym ya home kwake, wakati hapa dar kuna matajiri wadogo ambao wanamiliki private gym home kwao, ubahili mwingine una-cost, itakuwa maybe ametekwa na kikundi cha majambazi kinachotaka pesa ili aachiwe, au kama katekwa na wanasiasa, bhasi itakuwa hajui kuishi kinafiki na wanasiasa, Mengi anajua kuishi kinafiki na wanasiasa ndo maana hatekwi. Mama Sabrina Mshana Jr
 
Haya matukio yanaichafua serikali!! Ina maana serikali inashindwa kuwajua wanaofanya haya matukio??? Kama serikali imeshindwa ni bora watz tukaanza kuchukua hatua,,...
 
Ndo nashangaa, kwann asiwe na gym ya home kwake, wakati hapa dar kuna matajiri wadogo ambao wanamiliki private gym home kwao, ubahili mwingine una-cost, itakuwa maybe ametekwa na kikundi cha majambazi kinachotaka pesa ili aachiwe, au kama katekwa na wanasiasa, bhasi itakuwa hajui kuishi kinafiki na wanasiasa, Mengi anajua kuishi kinafiki na wanasiasa ndo maana hatekwi. Mama Sabrina Mshana Jr
Mazoezi ya peke yako yanaboa
 
Haya matukio yanaichafua serikali!! Ina maana serikali inashindwa kuwajua wanaofanya haya matukio??? Kama serikali imeshindwa ni bora watz tukaanza kuchukua hatua,,...
iga style ya Zacharia yule mfanyabiashara wa huko Tarime mkoani mara ambaye aliwapiga Risasi wasiojulikana mpaka leo wapo hospt wanaugua majeraha na maumivu.
 
tayari ushamjua mhusika?


Brigadier Isaac Maliyamungu

Isaac Maliyamungu was one of Idi Amin's most evil and feared Lieutenant who was in charge of quelling dissent in the army.

Before he joined the army, he had been a mere gatekeeper at Nyanza Textile Industries. At the time of the coup, he commandeered a tank with which he shot up the entrance to the Entebbe airport terminal, killing two priests.

After the coup he headed Amin's execution gangs, with unlimited power to execute anybody in the army, even officers senior to him. His modes of execution were as atrocious as anything imaginable. He was fond of disemboweling his victims.

Along with several other officers, he is known to have executed his victims by having them run over by tank. But perhaps the grisliest episode concerned Francis Walugembe, who had previously been Mayor of Masaka.

In September 1972, Walugembe was arrested, had his genitals cut off and was paraded through the streets before being killed and dismembered.

So violent and brutal was Malyamungu that even Amin once admitted fearing him believing he was going mad.
 
Tunahali mbaya kama Taifa. Maana kama mtu anashida yoyote vyombe vya kisheria mbona vimejaa , kwanini tuwe watu wa kuchukua njia za mkato katika kushughulikia mambo yetu. Hata kikao cha ile panel iliyokaa pale Ikulu kwa kweli wengi walizungumzia mambo haya haya ya utawala wa sheria kutozingatiwa. Na yupo mtu aliyeenda mbele kidogo na kunyooshea kidole kwa maamuzi mabovu ya baadhi ya Dc's & co. kwa kukiuka sheria. Maana mtu kutekwa na wasiojulikana ni aibu kwa police wetu ambao wanadhamana ya kulinda usalama wetu na mali zetu pia. Watu wanashambuliwa na watu wasiojulikana haya mambo ni aibu kubwa kwa Taifa na bahati mbaya hatujifunzi kutoka kwenye mkwamo wa haya mambo. Wapo mabingwa wa utawala bora na demokrasia wanaotelewa mifano kila kona kinara kwa sasa ni Raisi wa Ghana Hon. Nana Addo Dankwa Akufo-Addo
 
Ndo nashangaa, kwann asiwe na gym ya home kwake, wakati hapa dar kuna matajiri wadogo ambao wanamiliki private gym home kwao, ubahili mwingine una-cost, itakuwa maybe ametekwa na kikundi cha majambazi kinachotaka pesa ili aachiwe, au kama katekwa na wanasiasa, bhasi itakuwa hajui kuishi kinafiki na wanasiasa, Mengi anajua kuishi kinafiki na wanasiasa ndo maana hatekwi. Mama Sabrina Mshana Jr
Swala sio gym kuwa kwake, kama mipango ilipangwa ni lazima wangemteka mahala popote tu,sema mnatoa hoja kwanini hana gym kwake kwa kuwa ametekwa akienda gym ya njee hiyo sio sababu maana gym ya wengi inaleta hamasa sana kuliko nyumbani ni kama kuangalia mpira nyumbani sio kama kuangalia na watu wengi kwenye bar
 
Back
Top Bottom