Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anamaanisha diamond hawawezi kumteka kisa wale wenye miwani ya gizaHivi diamond wale ni walinzi au msindikizaji mwenye kifua??
Mlinzi ambaye inabidi amlinde mtu kama Mo inabidi awe trained kisasa..
Ile ya Zakaria ilikuwa bomu la hatari sana.Zakaria asingefurukuta leo mirathi ingeshakamilika !!!.
Sijui wewe unadhani ni nani?!
Nimecheka sana Mkuu.Utasikia UKAWA ndio imemteka!
My ribs!
Dah, Yanga tena? Tusifike huko ndugu zangu. Najua unatania tu.
Nchi ya matukio ya kuwasahaulisha watanzania juu ya matumizi mabaya ya pesa zao wanazolipa kodi kutumika vibaya kuwanunua wapinzani kurudia chaguzi kwa gharama kubwa huku huduma za kijamii zikizidi kudorola, wanatengeneza Matukio ili watanzania wasahau vingi vioja wanavyofanyiwa na CCM kwa sasa.
Nimecheka sana Mkuu.Utasikia UKAWA ndio imemteka!
My ribs!
Wasiojulikana waliokwenda kumpiga Risasi Tundu lisu kule Dodoma sasa wanajulikana lakini hakuna aliyewachukulia hatua, mbinu pekee iliyosalia ni kuwasomea Alibadiri kubwa tena ikasomewe mbali huko Somalia kwa siri kubwa ili kuepuka kutibuliwa na yule shehe wa mkoa wa Dsm rafiki yake Le mutuz na Bashite.Hakuna hapo kuna mchezo unachezwa. Haiingii akilini kuwa ametekwa, huenda kuna mpango unafanywa juu ya mtu fulani, I'll ikitokea watu tujue aaah kawaida, mbona MO nae alitekwa!! Lakini hakuna siri chini ya jua kila kitu kitakuwa peupe muda sio mrefu. La tatu kwanini MO anaishi maisha ya aina hiyo? Hivi kweli yeye hajijui kuwa na Tycoon, au anazani kuishi hivyo ndio kutamfanya apendwe? Lazima aamue kuishi tofauti kabisa, tena tofauti sana. Haiwezekanj MO akashindwa kuwa na fitness Center kwenye kasri lake, ok hana. Basi haiwezekani akawa hana bodyguard anapotoka ndani ya viunga vya kasri lake, jamani MO ni nembo ya taiga letu.
Natoa angalizo kwa wanaofanya huu mchezo, wanaliangamiza taifa. Wasidhanie ni suala dogo, hakuna wawekezaji watakaokuja Tanzania kuwekeza na hata wakija watakuja vibaraka wao.
Ni nani aneapanga ujinga huu, na kwanini wanamchekea? Baba wa Taifa alisema, ukizoea kula nyama ya watu, hautaacha. Wamezoea kuwateka akina Ben Sanane, Dr Ulimboka na wengine kuwaua kabisa, sasa dhambi inatamalaki wameanza kutekena wenyewe kwa wenyewe. Amini nakuambia kila kitu kitakuwa wazi, huenda wamemtaka kwa kumtisha ili aisaidie kifedha jamii , taasisi au kikundi cha watu fulani itajulikana. Sitaki kwenda mbali sana, ila anaepanga huu mchezo, lazima akamatwe ashtakiwe na kufungwa. Labda tu kama kuna baraka ya Mungu. Acha tu niingie mtaani kutafuta riziki ya kila siku.
Yes aliandikaHivi majuzi kwny page yake ya twitter MO si aliandika kitu kuhusiana na mambo ya madeni as if kama anamdai mtu hivi afu jamaa anazingua kulipa,kitu lama hicho nadhani.
Zile za area D zilifunguliwa fasterWawahi CCTV camera za hapo Colosseum mapema kucheki tukio zima
Ishalibeba mkuu na kazi ya kusakwa wahalifu na raia mwema aliyetekwa ishaanza hope atapatikana soon tuna jeshi imaraHili si tukio dogo. Ni vyema serikali ikalibeba kwa uangalifu mzito.
Darmian Rais wa Interpol hajulikani alipo nae katekwaAisee..hadi Mo??
Watu wanapoamua kukudaka haijalishi uko wapi watakupata kumbuka mtu wa level ya MO kumrukia sio issue ndogo unaweza kuunga dot watu hao wanatoa wapi ujasiriNdo nashangaa, kwann asiwe na gym ya home kwake, wakati hapa dar kuna matajiri wadogo ambao wanamiliki private gym home kwao, ubahili mwingine una-cost, itakuwa maybe ametekwa na kikundi cha majambazi kinachotaka pesa ili aachiwe, au kama katekwa na wanasiasa, bhasi itakuwa hajui kuishi kinafiki na wanasiasa, Mengi anajua kuishi kinafiki na wanasiasa ndo maana hatekwi. Mama Sabrina Mshana Jr