Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Kama wamedhibitishakutekwa kwake na kupiga risasi kuwatisha walio kuwapo hapo nini maanaake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazoezi ya kujumuika ni mazuri myHalaf kwanini asitengeneze gym kwake nae
na ndo maana hujatekwa sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila inauma sana nchi hii ilipo fika sasa mtu kama mimi wakiniteka si itakuwa basi na huku tuliko mabode kuinama itakuwa kilio kwa wazazi na hatimae watanisahau tu tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana haya matukio hatukuyazoee kabisa na ni kwa nini awamu hii yamekuwa mengi Dana
Enzi za jakaya yalikuwepo ila sio kwa kasi ya 4g ya sasa
Kwa uelewa wangu mdogo na kwakuwa huyu ni bilionea wa juu kabisa Afrika na anayetambulika kama bilionea mmojawapo ulimwenguni, kuna meseji inapelekwa Kwa investorsZakaria alishaonyesha mfano inatakiwa wengine wafuate sasa...... zis iz too much...
Yamezidi awamu hii lakini si kuanza awamu hii. Ulimboka alitekwa awamu hii? Hivi vitu tuvilaani kwa nguvu zote. Ombi langu kwa Mungu unaweza usilielewe lakini si lazima nieleweke. Serikali ijue tukio hili linaenda kukamilisha dhana iliyopo kwa utimilifu wake kama wasipolibeba kiweledi na kuheshimu misingi ya utu na ustawi wetu.Mkuu, maombi ya namna hii naamini kabisa Mwenyezi Mungu hana hata muda nayo..
Mkuu MTAZAMO usipende kupindisha pindisha mambo, (situmii maneno makali, maana mtu mwingine angeweza kukwambia "acha unafiki"), mambo yote ya watu kutekwa, kuteswa na kupotezwa yameanza mara tu baada ya huyo unaemuombea kwa Mungu aingie madarakani..
Kusema ukweli napo kuna baraka zake kwa Mwenyezi Mungu.
Dawa yao ni kuwapiga au kuwapiga Risasi kama yule Zakaria wa huko Tarime.Naomba ile clip ya bilionea Mosha alipovamiwa na watu wasiojulikana
Kwahyo yawezekana mdeni kamteka... Sasa akimteka ndio atakua kalipa deni? Aturudishie Mo wetu simba ishachanua sababu yakeYes aliandika
Halaf kwanini asitengeneze gym kwake nae
Umeona alichoandika huyo au kafirika huko anaparamia watu
Inafikia stage flan huhitaji kujichanganya sana ma watu ndio mambo kama hayoo sasa yametokeaMo ni mtu anaependa kuchanganyika na watu, sio tajiri wakujitenga na jamii inayomzunguka.
Nimejiuliza swali pia, hakuwa na mguu wa kuku pia afyatulie mbali maana njema zimeibuka na silaha za motoHatembeagi na bodyguard?
There you are homieKwa uelewa wangu mdogo na kwakuwa huyu ni bilionea wa juu kabisa Afrika na anayetambulika kama bilionea mmojawapo ulimwenguni, kuna meseji inapelekwa Kwa investors
Nami nashangaa anatembea bila wasiwasi kama kapuku mieNimejiuliza swali pia, hakuwa na mguu wa kuku pia afyatulie mbali maana njema zimeibuka na silaha za moto