jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Aiseeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben saanane mpaka leo kizungumkutiKama kwel katekwa atapatikana tu jeshi letu la police lipo vizuri mno
Asubiri ili iweje,hujui jinsi habari inavyosambaa ndiyo hata kumuokoa inakua rahisi...Tulia Basi ifike mpk sanne nne hivi ndio ujiridhishe
Mkuu, maombi ya namna hii naamini kabisa Mwenyezi Mungu hana hata muda nayo..Kuna maombi Mungu huyapokea kwa shingo upande
Toka lini maskini ukavamiwa wewe we relax tuKama mtu tajiri zaidi nchi hii anachukuliwa na wasiojulikama Hali sio nzuri
Zakaria asingefurukuta leo mirathi ingeshakamilika !!!.Kwanini manakilmbilia utawala mbona una maind set yako ndogo kiasi hiki wewe
Zacharia mwingine aitwaye Hans Pop yeye kwa kuwa ni komandoo aliunusa mchezo mapema akatoroka nchini na sasa hawajui alipoiga style ya Zacharia yule mfanyabiashara wa huko Tarime mkoani mara ambaye aliwapiga Risasi wasiojulikana mpaka leo wapo hospt wanaugua majeraha na maumivu.
Bahati nzuri ni Mungu aliyemfanya Sauli kuwa Paulo ...ni Mungu atendae kwa sifa na utukufu wa jina lake.Kuna maombi Mungu huyapokea kwa shingo upande