Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

hivii ni nani vilee alituambia kuwa ''wakishatumaliza upande huu watarukia upande wenu... jiandaeni tu kisaikolojia
 
Bahati mbaya mimi sio maskini Kaka
 
Dah tunaletewa movie nyingine
.sijui itakuwa na part 2?
.sijui itachezwa kwa ustadi au itafanana na zile nyingine?
.sijui inataka kumpa kiki nani ?

Wakati utasema...stay tuned....!!!!
bila shaka umejionea muvi nzima mkuuu 😕😕
 
.
 

Attachments

  • MV5BMjA3NTA1MjgwNV5BMl5BanBnXkFtZTcwMTgyMDExNA@@._V1_SX1472_CR0,0,1472,999_AL_.jpg
    164.7 KB · Views: 39
Nimeawaambia hawa wazungu ni wazungu koko aiseehhh yani hata wabongo wamewazidi maana wanagekua ni wabongo tungesikia siku nne MO ndiyo anapatikana,cha kwanza watuambie dhamira ya hao kumteka Mo
Hawakuwa wazungu hao watakuwa ni Alibino wa Le mutuz kuna kamchezo kanatengenezwa ili kuwasahaulisha watanzania juu ya machungu ya matumizi mabaya ya pesa za umma pesa za walipa kodi.
 
Jambo la kushukuru kwa Mungu kuna tetesi kwamba tajiri Dewji AMEPATIKANA !
Tukio hili liwe funzo hasa kwa matajiri.
 
Sasa jamani hao wazungu ealiokuwa wamemteka, washahojiwa kujulikana ni raia wa nchi gani na nia yao ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…