Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeawaambia hawa wazungu ni wazungu koko aiseehhh yani hata wabongo wamewazidi maana wangekua ni wabongo tungesikia siku nne MO ndiyo anapatikana,cha kwanza watuambie dhamira ya hao kumteka MoNimeona hii taarifa Twitter jamaa ameshapatikana. View attachment 894153
Le mutuz ndiyo anacheza hii Sinema kama una namba yake mtumie msg ya kumchana liveMsitutoe kwenye mjadala wa mabasi yamwendokasi na adha tunayokutana nayo tafadhali..huyu director wa hii movie kawashika kweli kweli
Mbona unaongea mafi ya umbwa, Afghanistan kuna serikali? Wewe unashabikia nini, au ndio mmoja wa waliofanya huu ujinga?Unabwabwaja tu, Rais wa Afighanstan alishafanyiwaga ambush akiwa chini ya ulinzi mkali na ni Mungu tu haikuwa siku yake ya kifo msafara wa Rais uliwakimbia Taliban.
Haaahaaa...tuwasubirie mahakamaniHawa ni wazungu koko eti
Hakuna jipya hapo, kilichobakia ni kusikia wasiojulikana wakitekwa, kupotezwa au kuuawa na wasiojulikana.Wasiojulikana hao wameanza tena kazi yao upya
Huyu kaamua kutuchekesha wakati tukio kwenye masikitiko makubwa!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji86] [emoji86] [emoji86] ..mbavu zangu
Ana upako mkuu wa mkoa wangu kujua wanaotekwa.. Tusubiri Mambosasa akifanya tukio live LA kututangazia watekaji wa tajiri wetu Kama watataka kutuonyesha kwanza maana hawakawii kusema wataharibu uchunguzi wakituonyesha watekajiInawezekana ana sura ya kihalifu lakni wanayo sababu ya kutupa kilicho nyuma ya utekwaji wake... Ili suala makonda anaweza kulijua kwa kuwa ni mwenye mkoa wake, yale yale kwa kutekwa Roma alitoa kauli ikawa, leo kainglia kati imekuwa.... Kunalo jambo.
Mzungu?Halafu wanasema kapatikana mbona hawaelezei kwa undan? Kapatikana vipi ilikuaje atekwe.. Kuna picha nimeona WhatsApp inasemekana ya mtekaji mmoja wapo jamaa Ana sura ya kihalifu kabisa
jamaani watu wabaaya kosa gan asaa/ au kik
Hivi ukitekwa unafanyiwa nini?
Dont trust MambosasaKuna hizi habari kwamba Mfanyabiashara Mohamed Dewji ametekwa leo asubuhi maeneo ya Collosium Gym , Oysterbay alipokuwa ameenda kufanya mazoezi..
Mwenye habari kamili atujuze.
======
UPDATES:
Mfanyabiashara maarufu nchini, ambaye pia ni mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji (Mo Dewji), anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana waliokuwa na silaha za moto, saa 11 alfajiri wakati akiingia kufanya mazoezi katika gym ya Colosseum, Oysterbay jijini Dar leo Oktoba 11. Kamanda wa Polisi Kinondoni, Jumanne Muliro athibitisha.
RPC Lazaro Mambosasa amesema Polisi Dar inafuatilia madai ya kutekwa kwa mfanyabiashara huyo maarufu nchini
UPDATE 1:
Dereva wa Uber amesema aliona watu 4 wakishuka kwenye gari dogo, wakiwa wamejifunika usoni, wakapiga risasi moja juu na kumchukua Mohammed Dewji
UPDATE 2:
RPC Lazaro Mambosasa amesema waliomteka mfanyabiashara Mohamed Dewji (Mo) ni wazungu wawili. Aidha, amesema msako mkubwa unafanywa kwa raia wa kigeni wote waliopo nchini kufuatia kutekwa kwa Mo Dewji
UPDATE 3:
RPC Lazaro Mambosasa amesema watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano kuhusu kutekwa kwa mfanyabiashara Mo Dewji
We MTU wewe.. Ukiandika hiyo herufi naogopa
Nilisema he is safe ....faithful is a keyNasikia keshapatikana.
Si ndo anahusika na vikundi haramu vya utekaji??Akamatwe kafanya nni?
Hujui kwamba huyo ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa...polisi wa mkoa wako chini yake?
Hujui kwamba ana mamlaka ya kuzungumzia mambo yote ya usalama mkoa wa Dar..
We ulitaka nani azungumzie hili? Mme wako au mjomba wako?