Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Unabwabwaja tu, Rais wa Afighanstan alishafanyiwaga ambush akiwa chini ya ulinzi mkali na ni Mungu tu haikuwa siku yake ya kifo msafara wa Rais uliwakimbia Taliban.
Mbona unaongea mafi ya umbwa, Afghanistan kuna serikali? Wewe unashabikia nini, au ndio mmoja wa waliofanya huu ujinga?
 
Inawezekana ana sura ya kihalifu lakni wanayo sababu ya kutupa kilicho nyuma ya utekwaji wake... Ili suala makonda anaweza kulijua kwa kuwa ni mwenye mkoa wake, yale yale kwa kutekwa Roma alitoa kauli ikawa, leo kainglia kati imekuwa.... Kunalo jambo.
Ana upako mkuu wa mkoa wangu kujua wanaotekwa.. Tusubiri Mambosasa akifanya tukio live LA kututangazia watekaji wa tajiri wetu Kama watataka kutuonyesha kwanza maana hawakawii kusema wataharibu uchunguzi wakituonyesha watekaji
 
Halafu wanasema kapatikana mbona hawaelezei kwa undan? Kapatikana vipi ilikuaje atekwe.. Kuna picha nimeona WhatsApp inasemekana ya mtekaji mmoja wapo jamaa Ana sura ya kihalifu kabisa
Mzungu?
 
Kuna hizi habari kwamba Mfanyabiashara Mohamed Dewji ametekwa leo asubuhi maeneo ya Collosium Gym , Oysterbay alipokuwa ameenda kufanya mazoezi..

Mwenye habari kamili atujuze.

======

UPDATES:

Mfanyabiashara maarufu nchini, ambaye pia ni mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji (Mo Dewji), anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana waliokuwa na silaha za moto, saa 11 alfajiri wakati akiingia kufanya mazoezi katika gym ya Colosseum, Oysterbay jijini Dar leo Oktoba 11. Kamanda wa Polisi Kinondoni, Jumanne Muliro athibitisha.

RPC Lazaro Mambosasa amesema Polisi Dar inafuatilia madai ya kutekwa kwa mfanyabiashara huyo maarufu nchini

UPDATE 1:

Dereva wa Uber amesema aliona watu 4 wakishuka kwenye gari dogo, wakiwa wamejifunika usoni, wakapiga risasi moja juu na kumchukua Mohammed Dewji

UPDATE 2:

RPC Lazaro Mambosasa amesema waliomteka mfanyabiashara Mohamed Dewji (Mo) ni wazungu wawili. Aidha, amesema msako mkubwa unafanywa kwa raia wa kigeni wote waliopo nchini kufuatia kutekwa kwa Mo Dewji

UPDATE 3:

RPC Lazaro Mambosasa amesema watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano kuhusu kutekwa kwa mfanyabiashara Mo Dewji

Dont trust Mambosasa
 
Akamatwe kafanya nni?
Hujui kwamba huyo ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa...polisi wa mkoa wako chini yake?

Hujui kwamba ana mamlaka ya kuzungumzia mambo yote ya usalama mkoa wa Dar..

We ulitaka nani azungumzie hili? Mme wako au mjomba wako?
Si ndo anahusika na vikundi haramu vya utekaji??
 
Back
Top Bottom