Ni rahisi kuwajua strangers especially habari hii ipo spread all over the country so am sure watu wakiona tu watastuka subiri uone mZiguaUkute wameshamficha kwenye safe house mtatafuta mpaka muimbe Hallelujah...
Huyu anajuta kuondoka Leo. Habari yake haina mashiko kabisa watu tuko busy na tajiri wetuDar , Mo anatekwa je uko UKARA UKEREWE ataacha kuunga juhudi
Ila safari hii mmetutengenezea drama fupi sana, tumezoea series na episode kibao, drama gani inaisha leo leoSisi ndio Masters wa movie hapa bongo!
HATUPOI HATUBOI🎃🎃
Mambo bado mbofu mbofuAny updates??
hiyo tunaita akili kijikoKabisa mkuu...mtuu anauliza eti kwanini asiwe na gym home?[emoji15] [emoji15] ...like serious!
Ngoja tuone mkuu.. Hivi kwanini sehemu Kama Masaki hamna security cameras?? Au Dar Kwa ujumla?Ni rahisi kuwajua strangers especially habari hii ipo spread all over the country so am sure watu wakiona tu watastuka subiri uone mZigua
Yeye amekaa mkao wa kutoa taarifa,amuachie RPCHABARI MPYA: RC wa Dar Paul Makonda amekanusha taarifa za kupatikana mfanyabiashara Mohamed Dewji aliyetekwa leo asubuhi-MCL
Huyo mbunge gani tena wa kule meli ilopozama ??? lol these people are insaneHuyu anajuta kuondoka Leo. Habari yake haina mashiko kabisa watu tuko busy na tajiri wetu
Haya Sawa mzigua90Eneo ambalo sio rahisi MTU mwingine kujua existence yake zaidi ya wahusika..
Duuh mzee mganga ulikua wapi kitambo sana nnaona umeibuka na ramli mpyaDah tunaletewa movie nyingine
.sijui itakuwa na part 2?
.sijui itachezwa kwa ustadi au itafanana na zile nyingine?
.sijui inataka kumpa kiki nani ?
Wakati utasema...stay tuned....!!!!
Teaser...Ila safari hii mmetutengenezea drama fupi sana, tumezoea series na episode kibao, drama gani inaisha leo leo
Unanona impact ya kwanza hiyo.. Unaweza kuona ni suala dogo lakini lina madhara makubwa sana..Hee kwaiyo hakuna ndege inatua wala kuondoka nchini Leo kisa Mo?
Unajua lakini Paul anavyopenda MediaYeye amekaa mkao wa kutoa taarifa,amuachie RPC
Wataondoka wavulana ambao hawajui kesho yao,wanaume watabaki inginekua kuondoka angeondoka mbowe kwa figisu zote walizomtendea awamu hiiHuyu anajuta kuondoka Leo. Habari yake haina mashiko kabisa watu tuko busy na tajiri wetu
Walizi wa kiTz kazi yao ni kusaidia watu wasimsumbue boss wao, hawawezi kupambana na watekaji[emoji3]Inasaidia nini mkuu? Sana sana watamfyekelea mbali tuu
Eeeh. Eti sababu Wenzie chadema hawakumuunga mkono alivyopata tatizo lake LA meli kuzama. Mwanaume anaongea sababu ya kitoto. Kwahiyo kasusaHuyo mbunge gani tena wa kule meli ilopozama ??? lol these people are insane