Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii movie mi nashindwa kuielewaMbna inasemekana bado hajapatikana.
Wew umejuaje km waliomtek ni serikal had useme wamfungulie mashtaka?watanzania badiliken huyo mo ni mfanyabiashar mkubwa ana maadui wengine pengine ni wenzie haoKumteka tajiri namba 1 Tanzania Top 10 richest people in Tanzania (orodha ya matajiri 10 Tanzania) - JamiiForums ni kutangazia ulimwengu kuwa Tanzania sio salama tena kwa wawekezaji. Na hii italeta na negative impact kwenye uchumi wetu huu wa kusuasua.
Kama Mo alikua na makosa kwanini hawakumfungulia mashtaka na kumpeleka mahakamani? Au kwanini hawakumuita kiustaarabu na kumhoji?
Hili ni kosa kubwa sana na waliolifanya wanaitaji kushighulikia ipasavyo.View attachment 894096
Huyu jamaa siku yakitokea matukio ambayo anahusishwa anakaa kimya, limetokea hili ambalo ni vigumu kumuhusisha anaanza kutoa kauli za kulazimisha watu kumhusisha.............RC Makonda ametoa onyo kali kwa yeyote atakayeibuka na kuanza kusambaza taarifa za uongo kuhusiana na tukio hili au kuligeuza na kulifanya mtaji wa kisiasa.
Wanatafuta kiki nani awe wa kwanza kutoa taarifa, msaidiz wa RPC anasema kapatikana, RC anasema hajapatikana, yupi wa kumwamini askari au zero brain..!?Mbna inasemekana bado hajapatikana.
Dereva wa Uber anasema waliingia ndani wakatoka na MO, wapi maelezo ya watu waliokuwa gym?Sasa wana JF, hebu niambieni, tuamini maelezo yepi; ya dereva wa Uba aliyekuwapo wakati tukio likitokea, au Mambosasa
Mkuu wa kikundi cha wasiojulikana anaitwa Kisanduku ni yule jamaa aliyemtolea bunduki Nape kule upangaInawezekana wasiojulikana wamemaliza likizo yao wameanza kazi
Dahhh ila kitajulikana tuu tumuombee asipewe sumu au kuuliwaMambo bado mbofu mbofu
Planners watadevelop several scenarios in this attack hutaaamini!Mimi nabeba taarifa za kutoka kwenye tukio mkuu kwamba waliomteka Mo ni watu wanaojulikana ni wazungu ngoja kwanza tushikilie hilo kwanza for the mean time tutapata ukweli wote baadae
Hawa na wenyewe wanazingua...Wanatafuta kiki nani awe wa kwanza kutoa taarifa, msaidiz wa RPC anasema kapatikana, RC anasema hajapatikana, yupi wa kumwamini askari au zero brain..!?
Mo anachangia pato letu LA taifa pakubwa Sana mkuu. Lazima wahakikishe anapatikana Kwa hali yoyote ileEti viwanja vya ndege vimefungwa!
Kwa sababu Mo katekwa.
Halafu unasema ni nchi ya wanyonge.
Na wewe unaamini ni wazungu boss?
Mpaka mipaka imefungwaHee kwaiyo hakuna ndege inatua wala kuondoka nchini Leo kisa Mo?
wanasemaje? wengine tuko shambani hatupati taarifa live liveWameanza kujichanganya tayari, si mmewasikia huko?
Huenda wakopaj hao wamemtek lkn kun mijitu mijinga inadhani serikal