kwa awamu hii SIFA kwanza mambo mengine baadae.Hamna MTU anawaelewa Hawa watu wa mamlaka. Naona wanashindana nani wa kwanza kutoa taarifa
Huyo mbunge atuache kwanza. Mpaka tumpate Mo hatukubali hizo kiki nyingine.Jaaman eeehh, tusisahau mbunge wa ukerewe kajiuzulu.
Hawa jamaaa wanajua kupanga matukio mno
Sasa mkuu akiweka gym nyumbani huoni kama yule anae miliki gym atakosa wateja na matokeo yake pesa itakosekana katika mznguko mwisho mwnyw utaanza kusema maisha magumu.
Kesho yao wanaijua wanajitoa ufahamu tu. Wanaangalia watakachokula Leo Na sio baada ya 2020.Wataondoka wavulana ambao hawajui kesho yao,wanaume watabaki inginekua kuondoka angeondoka mbowe kwa figisu zote walizomtendea awamu hii
C lazima awe na gmy kwake,hata hivyo unafikiri wote wanaoangalia mpira vibandani hawana vingamuzi makwaoHalaf kwanini asitengeneze gym kwake nae
Number One SuspectUzi ghafla umekuwa zilipendwa walahi
Kila kitu mediakwa awamu hii SIFA kwanza mambo mengine baadae.
Ahahaaa very stupidEeeh. Eti sababu Wenzie chadema hawakumuunga mkono alivyopata tatizo lake LA meli kuzama. Mwanaume anaongea sababu ya kitoto. Kwahiyo kasusa
Ni vyema kukutana gym na watu tofauti mnapeana ushauri na kupiga tizi pamoja..Halaf kwanini asitengeneze gym kwake nae
Haha kiki imebumaHuyu anajuta kuondoka Leo. Habari yake haina mashiko kabisa watu tuko busy na tajiri wetu
Mbna inasemekana bado hajapatikana.Mo kapatikanaView attachment 894242
Kaaazi kweli kweli walahiMo kapatikanaView attachment 894242
Kaaazi kweli kweli walahi
Hatutoi Kik Leo..Haha kiki imebuma
Miaka ya mwanzo nilikuwa nikigombana na wife haswa mechi za usiku lazima nitoke naacha DStv home naingia vibanda umiza, kuna mwaka nikampeleka kucheki fainali ya Champs league alivyoona vijana wanavyoshangilia na kufukanana akaogopa lakini mm ndo raha yangu kuona watu wakibishana na kumwagiana tamboC lazima awe na gmy kwake,hata hivyo unafikiri wote wanaoangalia mpira vibandani hawana vingamuzi makwao