Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Wanatafuta kiki nani awe wa kwanza kutoa taarifa, msaidiz wa RPC anasema kapatikana, RC anasema hajapatikana, yupi wa kumwamini askari au zero brain..!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tunaomba Mh. Makonda akae pembeni kidogo aache polisi wafanye kazi yao!
Nilishasema huyu si mtaalamu wa haya mambo akasolve issue ya UDART kule, taarifa watakuja kumpa wataalamu wa itelejensia kwa kadiri inavyopatikana

Sasa mara waanze kushindana kutoa taarifa za ohhh kapatikana ohh bado hajapatikana. watu wakae chini wapange mikakati. Mtu katekwa halafu unaenda alipotekwa mt, sasa uliambiwa nyumba imeungua au kuna gari imepata ajali hapo?
 
Bilionea unashindwa hata kuweka gym nyumbani kwako unaanza kukurupuka saa 11 kwenda kunukishana majasho na wenzio?!

Huwezi kuwa na mapesa yako mengi namna hiyo halafu ukose hata mlinzi mmoja mwenye silaha...Watanzania tuache kuishi kwa mazoea jamani

kwaiyo akiamka asubui aende gym nyumbani, aoge ajiandae, ofisi awepo apo apo, mchana meetings akutane na watu nyumbani, awe baharini pia jioni apumzike apo, shopping afanye umo umo.. yeye asitoke kabisa? watu wakipanga kumdaka ata msikitini wangechomoka nae!
 
Kwa hiyo Mo Dewji kiuchumi ni muhimu kuliko airport yetu moja ya kuingia na kutoka nchini?

Na siku Mo akistaafu uchumi wa nchi utayumba?

Jeff Bezos unamjua?

Marekani hawawezi kufunga JFK airport kwa sababu eti Jeff Bezos katekwa.
Kufunga maana yake si kuzidisha ukaguzi Na kuongeza ulinzi? Haimaanishi isiingie Ndege wala kutoka Ndege..
 
Something is not right here! Something fishy!
-Kulikuwa na purukushani yoyote?
-Kitu muhimu kwenye utekaji ni kuavoid attention, Kwa nini walipiga risasi juu?
- Collosium Gym hawana walinzi?
 
Kufunga maana yake si kuzidisha ukaguzi Na kuongeza ulinzi? Haimaanishi isiingie Ndege wala kutoka Ndege..
Halafu pia Tanzania bado kiusalama tupo chini hata kwenye airport zetu..Marekani hawawezi ila bongo hilo naona sawa tu
 
Nilikua naperuzi kwa dada wa Taifa yy anamtuhumu Bashi boy ndo kubwa la maadui katika hii movie ya watu wasiojulikana Terminator part 4
 
Huyo mfanyabiashara mm alinkera Sana, watu huwajui na unajua kabsa sio watu wema eti unaishia kuwajerui tuu kwa nn asingepga risas za kichwa au machoni kama watapona wawe vipofu? Mungu asaidie waokoke huko huko na waje washuudie uovu wao kweny majukwaa ns wasime nan akiwatuma
 
Kwa hiyo Mo Dewji kiuchumi ni muhimu kuliko airport yetu moja ya kuingia na kutoka nchini?

Na siku Mo akistaafu uchumi wa nchi utayumba?

Jeff Bezos unamjua?

Marekani hawawezi kufunga JFK airport kwa sababu eti Jeff Bezos katekwa.
Usiongee sanaa...
Je wajua jamaa kaajiri watu angapi;
Familia ngapi zinamtegemea jamaa either directly au indirectly!!!
Acha mawazo mgando[emoji49]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…