NSHOMA FRANCOUS
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 698
- 325
watu wamepotea serikali kimya..hata waarifu wanatake advantage.. Kwamba Tanzania mtu anaweza kupotea tuu...🙆🏽♂️🙆🏽♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wamepotea serikali kimya..hata waarifu wanatake advantage.. Kwamba Tanzania mtu anaweza kupotea tuu...🙆🏽♂️🙆🏽♂️
Watu sijui huwa wanashindwa kujiongeza. Yani hata ukiwa na walinzi kuna siku utakutwa off guard tu.Hivi unajua kutegewa kitu hukijui mkuu au?....hata angekuwa na walinzi angetekwa tuu
Anashikiliwa na Serikali yake ya China kwa makosa ya rushwa ya kisiasa.Darmian Rais wa Interpol hajulikani alipo nae katekwa
Nimesoma hapo juu; watekaji walipiga risasi wakiwa wanaondoka. Kwa hiyo walikuwa wameshafanikiwa mpango wao. Ninachoshidwa kuelewa kulikuwa na ulazima gani wa kupiga risasi juu?Labda kutawanya watu wamchukue MTU wao bila kuingiliwa
Mkuu matukio kama haya kila mtu atasema lake hisia na mihemko imetawala uwezo wa kuhojiPlanners watadevelop several scenarios in this attack hutaaamini!
Lini waliacha?"Watu wasiojulikana" wameanza tena...
Huyo kwan mnamhitaji tena kama wa lissu?huyo dereva wake ashikiliwe mara moja asije akatoroshwa kama yule wa lissu...
Jamaa anapenda media anataka kila saa aonekane kwenye media, hajui kama anatutoa attention ya kumuokoa MoNasikia Bashite amekanusha kama Mo amepatikana tena.. Na amewatishia wote wanaoeneza uvumi huo kwamba Mo amepatikana watakiona cha moto..! Mie nimemsikiliza kwenye clip ya video akisema Mo amepatikana na watekaji wamekamatwa.. Sasa hii anayokuja kukanusha na kutishia ni nini..? Kwa nini asijianze na yeye kwanza..? Ndo maana hili tukio toka nilipolisikia, nilipata shaka, kuna kitu hakikuwa sawa, ndo nazidi kuamini kuna kubwa nyuma ya pazia..
Una uhakika ...Hata Bill alipokuwa anakula wali maharage Tanga hakuwa na walinzi
Ata mi nimesikia kapatikana kumbe ni uzushi tujuzeniNimekuja kushangaa mbeleni mkuu wamekanusha wakati zilienea kama moto wa kifuu kuwa amepatikana
Arifu, naona unajaribu kuwaelewesha waliyokariri mambo.Watu sijui huwa wanashindwa kujiongeza. Yani hata ukiwa na walinzi kuna siku utakutwa off guard tu.
Na ubaya ni kuwa hakuna anaeijua hiyo siku. Cha msingi ni kumuomba Mungu tu atulinde na wabaya wa ulimwenguni.
Siyo kidogoHizi taarifa za amepatikana afu baadae unasema hajapatikana zina walakini.
Alidhan tutashtukaModewiji anatekwa.......... Mbunge anajiuzulu[emoji23][emoji23]
Kuna matukio yanatokeaga hapa tanzania mawili mawili, ili kufanya tukio moja LIPUUZWE.
AMINN NAWAMBIA,, ALOMTEKA MO DEWIJ NDO HUYOHUYO ALOFANYA MBUNGE WA UKEREWE AJIUZULU NAKUHAMIA SISIEMU.