Vizuri kama amepatikana...Mbona hatuwaelewi??? View attachment 894303
Nashauri magari yote ya mizigo, binafsi na abiria yapekuliwe - mashua, mitumbwi, meli, ndege vyote vichunguzwe - nyumba kwa nyumba, road blocks nk bila shaka watekaji watakosa njia na mwisho wa siku anaweza kupatikana
Mtu azaliwe 1975, shule ya msingi amalize 1986, yaani alimaliza elimu ya msingi akiwa na miaka 11? Hiyo sio elimu ya Tanzania na haiwezi kuwa elimu ya msingi ya miaka 7.
Vv
Weeee mtu akiwa amefanya gun point na upo nae close mbona unampa za uso na unamnyang'anya kabisa silaha,jeshin wanapewa mbinu za kupambana na mtu mwemye silaha ya moto, vivyo hivyo kareti unafundishwa kumkabili mtu mwenye silaha...Karate haina ujanja kwenye bunduki
Tunajadili usalama wa raia kwa ujumla nchini ukoje?? Hata ukiwa na gym yako je hutatoka nje kwa mahitaji mengine???Ndo nashangaa, kwann asiwe na gym ya home kwake, wakati hapa dar kuna matajiri wadogo ambao wanamiliki private gym home kwao, ubahili mwingine una-cost, itakuwa maybe ametekwa na kikundi cha majambazi kinachotaka pesa ili aachiwe, au kama katekwa na wanasiasa, bhasi itakuwa hajui kuishi kinafiki na wanasiasa, Mengi anajua kuishi kinafiki na wanasiasa ndo maana hatekwi. Mama Sabrina Mshana Jr
Sio shida, Wan HOJA za msingi, Ni lazima wasikilizwe.Wavulana Wa Kipindi Hiki Mnashida Sana
Can't get it ....mtu anauliza swali shallow mpaka unashangaa[emoji15]Watu sijui huwa wanashindwa kujiongeza. Yani hata ukiwa na walinzi kuna siku utakutwa off guard tu.
Na ubaya ni kuwa hakuna anaeijua hiyo siku. Cha msingi ni kumuomba Mungu tu atulinde na wabaya wa ulimwenguni.
Kama walipumzika kidogoLini waliacha?
Km jeshi lako liko vizuri,Yuko wapi Ben Saa 8?.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...utarudi tu we jichetue hukoHii serikali kila kenge anaongea
Kabisa asee...Mkuu matukio kama haya kila mtu atasema lake hisia na mihemko imetawala uwezo wa kuhoji
Utaambiwa ziliharibika wiki iliyopita!!! Mafundi ndiyo walikuwa waende leo kuzitengenezaTutaona kwenye CCTV CAMERAS za hapo,Kama zipo.
Sijakuelewa pal!Nimesikitishwa na Twitter moja
Why post it now
Kama una pesa zako sasa hivi ulinzi ni kijadi zaidi dadadeki. Anakuja kukuteka unageuka chatu hakawii kumwaga haja zote kwa mpigo.Familia itangaze tu dau ***** kama siendi kwa bibi tanga leo hii hii,na jioni nimamrudisha kwake huku watekaji wakiwa wameshika mgomba kuja kustuka mo hayupo
Nawaza sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...utarudi tu we jichetue huko