mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,721
Linajua aliko ndio maana liko vizuri! Wewe kutojua aliko, hakuondoi ukweli kwamba jeshi lake liko vizuri!!!
Weeee mtu akiwa amefanya gun point na upo nae close mbona unampa za uso na unamnyang'anya kabisa silaha,jeshin wanapewa mbinu za kupambana na mtu mwemye silaha ya moto, vivyo hivyo kareti unafundishwa kumkabili mtu mwenye silaha...
Tattizo linalo kera moyo wangu ni pale mtu wa kawaida akitoweka huwa hakuna jitahada za makusudi kama hivi, ila kama ni maarufu basi utatafutwa na tochi...usipo kuwa maarufu utagongwa vyuma huko utawekwa miezi mpaka tutakusahauKabisa asee...
Kwahiyo mkuu miaka imekosewa?Mtu azaliwe 1975, shule ya msingi amalize 1986, yaani alimaliza elimu ya msingi akiwa na miaka 11? Hiyo sio elimu ya Tanzania na haiwezi kuwa elimu ya msingi ya miaka 7.
Vv
mjinga sana huyu mbungeAhaaaahaaaa
Mtetee tu,lakini technology iko very powerful,kuna niliyoisikia amesema "amepatikana na watuhumiwa wamekamatwa"Nimemsikiliza Makonda vizuri kwenye ile clip hakuna sehemu kasema kuwa Mo kapatikana..Waandishi wa habari na wenyewe wasipende kushindana kupost taarifa kwa uharaka tena taarifa kubwa kama hizi..
Naona umesoma kwa makini ili upate pa kupinga. any way mada ya leo ni kutekwa kwa Mo. Hayo mengine tafadhar achana nayo tu.Mtu azaliwe 1975, shule ya msingi amalize 1986, yaani alimaliza elimu ya msingi akiwa na miaka 11? Hiyo sio elimu ya Tanzania na haiwezi kuwa elimu ya msingi ya miaka 7.
Vv
Unacheza na bullet wewe[emoji23] [emoji23] ...hata sterling akitekwaga anakuwa mdogo balaa!HIVI MO hata karet self-defense hakujifunza huko gym?
Inamaana licha ya kupigwa na kupelekwa hospitali bado hawajajulikana?iga style ya Zacharia yule mfanyabiashara wa huko Tarime mkoani mara ambaye aliwapiga Risasi wasiojulikana mpaka leo wapo hospt wanaugua majeraha na maumivu.
Mmmmh Mungu tunusuru na haya majanga ndani ya nchi yetu pendwa Tanzania. Hii inaogopesha na kuonesha kuwa kila mtu anaweza akatowekaDuh!Watu wasioujulikana hao bila shaka!
Hii nchi sasa!!
Walitekwa na kupotea watu wa kawaida, tukaona ni mambo madogo.Leo wanatekwa matajjri na watu maarufu labda sasa ndio tutashituka.
Nakumbuka pia yaliompata Lissu na mfanyabiashara wa Tarime bwana Zakaria.
Wacha tusubiri tuone nini kinaendelea tutapata picha kamili.
Kwa sasa wanaweza kuwa wanapima upepo.Pressure ikiwa kubwa,wanaweza kumwachia ikiwa mpaka sasa bado yuko salama.
Hii update kuwa katekwa na wazungu,inanipa maswali mengi sana na mojawapo ni wazungu gani hao wa kumteka mtu tajiri kama huyo tena wakiwa katika nchi ya watu?
Wanajiamini nini?
Ukimdhibiti mmoja mwingine anatoka nduki jaribu siku moja ukikutana na vibaka kamata mmoja uonesha mfano mpe ngumi nzito the rest watatoka ndukiHakuwa mtu mmoja mzee
Ni kweli mkuu...hakuna mahali Makonda kasema Mo kapatikana!Nimemsikiliza Makonda vizuri kwenye ile clip hakuna sehemu kasema kuwa Mo kapatikana..Waandishi wa habari na wenyewe wasipende kushindana kupost taarifa kwa uharaka tena taarifa kubwa kama hizi..
KabisaKarate haina ujanja kwenye bunduki
Mkuu jamaa amekujibu vizuri kabisa kwamba wewe kutokujua aliko Ben Saa8 hakumaanishi jeshi halijui aliko na hawana haja ya kuprove kwakoLiko vizuri Ben saa8 angepatikana.Vishuz km nyiny mnanuka damu za watu unakuja kutema mashudu hapa.
The world is not level walahiTattizo linalo kera moyo wangu ni pale mtu wa kawaida akitoweka huwa hakuna jitahada za makusudi kama hivi, ila kama ni maarufu basi utatafutwa na tochi...usipo kuwa maarufu utagongwa vyuma huko utawekwa miezi mpaka tutakusahau
Watakuwa wamefungua jalada. Juhudi za msako huu sijui zitakuwa zinafanana na msako wa Ben Saa 8 au Azory?!Hili limeshakuwa ni tatizo sasa.....ila ngoja tuachie mamlaka husika, zifanye kazi yake.
Usiogope kutekwa ogopa baada ya kutekwa watakufanya nini [emoji13] [emoji13]Mmmmh Mungu tunusuru na haya majanga ndani ya nchi yetu pendwa Tanzania. Hii inaogopesha na kuonesha kuwa kila mtu anaweza akatoweka