witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Usiogope kutekwa ogopa baada ya kutekwa watakufanya nini [emoji13] [emoji13]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Usiogope kutekwa ogopa baada ya kutekwa watakufanya nini [emoji13] [emoji13]
Yupo nyumbani kwa Msiba wa gazeti la jamvi la habariWewe ni msemaji wa jeshi la polisi?Jeshi la polisi linasema hajui alipo Ben,ww unalisemea;haya sema ben yuko wapi?
Watu wasiojulikana duuhInawezekana wasiojulikana wamemaliza likizo yao wameanza kazi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeehh raia kapuku ukitekwa utakula vyuma mpaka uwakumbuke wana jf forum wenzako wa kapuku forum waje kukuokoaHa ha haaaaaaaaa
Mkuu unapoona tajiri anatekwa unadhani sis kapuku si unafatwa na kuchukuliwa kama mchicha
Unamvizia wakati wewe ndo main target...yaan uliviziwa kitamboo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha uwoga ....unamvizia tu
Leo tutapaza sauti ndani na nje ya nchi mpaka baada ya masaa 24 tutampata MONo one is safe Mungu akulinde Mo
Wamepanda boti kwa mujibu wa Le mutuz ambaye ni mratibu wa hiyo Sinema ambayo inalalamikiwa kwa kutengenezwa vibaya kutokana na kusheheni makosa kibaoSijui hawa watekaji wamejiamini kumteka mtu maarufu kama yule tenda kwenye jiji lenye ulinzi mkali kama Dar.
Jamani tule hata nyasi ili nunue CCTV camera mji mzima mpaka kule Majohe na Msongola kwenye barabara za mavumbi.
All human are equal but others are more equal. Akitkewa more si sawa na ukitekwa wewe na mimi. Hiyo sio ubaguzi bali ndio nature ilivyo.Tattizo linalo kera ni pale mtu wa kawaida akitoweka huwa hakuna jitahada za makusudi kama hivi, media zimepamba moto vyombo vya ulinzi ndiyo usiseme a mtu walalahoi wakitoweka itaonekana demu wako ndiyo alikuteka na utakula vyuma sio mchezo
Maskini hana chake mkuu wangu loh. Dunia haina usawaTattizo linalo kera ni pale mtu wa kawaida akitoweka huwa hakuna jitahada za makusudi kama hivi, media zimepamba moto vyombo vya ulinzi ndiyo usiseme a mtu walalahoi wakitoweka itaonekana demu wako ndiyo alikuteka na utakula vyuma sio mchezo
KabisaLeo tutapaza sauti ndani na nje ya nchi mpaka baada ya masaa 24 tutampata MO
Uwoga tu ila kama amekaa kizembe unauwezo ukawajeuza wao kuwa mateka....mzee baba yani anajikunja vizuri unampa teke moja chalii unainua gun unapambana na mwenye gunSio mmoja..na lengo la watekaji sio kuua..ila ukiingilia mission unakula chuma...ata wenyewe martial arts wanazijua...at a ukiwa unajua ile michezo usiingilie yasiyokuhusu man..
Mkuu bora upate taabu kuliko shidaDah! Yaani Ukiwa na pesa tabu ukiwa masikini shida.
Hao watekaji mhhhh umejuaje wametumwa na walishajiandaa had kuharibu mfumo wa CCTV. Mtu mdogo wahivi hivi hawezi kumteka Mo kuna mkono mkubwa hapoSijui hawa watekaji wamejiamini kumteka mtu maarufu kama yule tenda kwenye jiji lenye ulinzi mkali kama Dar.
Jamani tule hata nyasi ili nunue CCTV camera mji mzima mpaka kule Majohe na Msongola kwenye barabara za mavumbi.
Kikubwa tumuombee tu, lakini mengine nafikiri tuache kwanza mamlaka zitekeleze majukumu yake......Watakuwa wamefungua jalada. Juhudi za msako huu sijui zitakuwa zinafanana na msako wa Ben Saa 8 au Azory?!
Ha ha ha ha haaaaaaaaa, nacheka utadhai mazuri but real im scared, tuzid kumuomba Mungu atuepushe upepo huu mbaya ndani ya nchi yetu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeehh raia kapuku ukitekwa utakula vyuma mpaka uwakumbuke wana jf forum wenzako wa kapuku forum waje kukuokoa
Kujifunika uso maana yake ni watu wanao julikana, wanajifunika ili wawe watu wasio julikana,UPDATE 1:
Dereva wa Uber amesema aliona watu 4 wakishuka kwenye gari dogo, wakiwa wamejifunika usoni, wakapiga risasi moja juu na kumchukua Mohammed Dewji
UPDATE 2:
RPC Lazaro Mambosasa amesema waliomteka mfanyabiashara Mohamed Dewji (Mo) ni wazungu wawili. Aidha, amesema msako mkubwa unafanywa kwa raia wa kigeni wote waliopo nchini kufuatia kutekwa kwa Mo Dewj