Swadataaa.. uko mule mule..Nakuelewa Sana.. Nilihisi inawezekana nikuhusiana Na udalali wake. Nikahisi kazinguana Na wafanyabiashara wenzie huko. Kama ni sababu ya kutikisa soko LA korosho basi kazi ikoo
Mo katekwa mkuu,, tena mi nna wasiwasi isiwe na majasusi wa nje ya nchi wanataka kuchafua taswira nzuri ya nchi yetu yenye kusifika kwa amani na uhuru wa kujieleza na democrasia yakuigwa
"MO KATEKWA NA WAZUNGU WALIOVAA MASK" - BASHITE ,Bado nasubiri jibu la BASHITE kwamba atapatikana kesho kabla ya sala ya ijumaa.Mo katekwa mkuu,, tena mi nna wasiwasi isiwe na majasusi wa nje ya nchi wanataka kuchafua taswira nzuri ya nchi yetu yenye kusifika kwa amani na uhuru wa kujieleza na democrasia yakuigwa
Kujitetea ruksa.Kwani Mange ndio source?
Yeye sikaposti kilichoripotiwa na media?
Na media sizimewanukuu wahusika?
Sasa yeye kosa lake nini?
Yule mchina alitekwa na idara ya usalama ya china, anachunguzwa kwa kashfa za rushwa..Wiki iliyopita rais wa interpol dunian alitekwa nchini ufaransa mpaka leo hii hajaonekana. Zimebak rumos tu kwamba katekwa na wachina au wakorea lakin hajaonekana. So haya mambo si mchezo mchezo kwa wenye uwezo wakiamua.
Lazima tuseme kweli, utawala huu unafungua njia , na Njia kweupe kabisa, labda dewji atatafutwa kwa sababu ni tajiri na muhindi, lakini vitendo hivi vimekithiri na kuna viashiria kuwa hata vyombo nyeti vya serikali vinatumia Njia hii, kwa hiyo ukipanda mahindi punje tegemea, kuvuna mhindi mzima, halii hii imeanzia juu ya utawala huu.Dah tunaletewa movie nyingine
.sijui itakuwa na part 2?
.sijui itachezwa kwa ustadi au itafanana na zile nyingine?
.sijui inataka kumpa kiki nani ?
Wakati utasema...stay tuned....!!!!
Hahaha upo serious mkuu?Mo katekwa mkuu,, tena mi nna wasiwasi isiwe na majasusi wa nje ya nchi wanataka kuchafua taswira nzuri ya nchi yetu yenye kusifika kwa amani na uhuru wa kujieleza na democrasia yakuigwa
He!, kumbe ndio maana wametoa taarifa kuwa atapatikana akiwa salama. Mchongo mzima kumbe wanaujua!"Matajiri wataishi kama mashetani"aliyetoa kauli hii number one suspect...Mo kawekeza 20 billions Simba kuna mijitu imenuna kwa nini asiunge mkono Sera ya viwanda...mpaka SAA sita usiku hajapatikana ..watu wote msako nyumba kwa nyumba hata kama ya serikali...
Kujiinamia ni kufunga macho?
Embe irushe humu na sisi tuliopo vijijini tuione kabla chaji haijaisha.Halafu wanasema kapatikana mbona hawaelezei kwa undan? Kapatikana vipi ilikuaje atekwe.. Kuna picha nimeona WhatsApp inasemekana ya mtekaji mmoja wapo jamaa Ana sura ya kihalifu kabisa
Masaki unaijua au unaisikia?? Maharamia wote wako huko.Kuna dereva alihojiwa redion alsema walielekea njia ya masaki. Ulinzi uwe mkali hasa baharini kujua ni chombo gani kimeingia na kipi kimetoka huku msako wa basement to basement ukuendelea ktk nyymba zote za ufukweni
Sema kweli mkuu.Mnavyobishana humu mngebishana uraiani mngeshadakwa!
Mjini watu waliyokaa vijiweni wamedakwa na kuwekewa lookup
Na log off....navuta muda nikapate bia zangu kadhaa
Ova