witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Maskini[emoji22] [emoji22] ....najisikia hata mimi vibayaNaona sasa huruma imeanza kuniingia moyoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini[emoji22] [emoji22] ....najisikia hata mimi vibayaNaona sasa huruma imeanza kuniingia moyoni
Hata Mimi aiseeNaona sasa huruma imeanza kuniingia moyoni
Hivi alitekewa Ufaransa au China?Wiki iliyopita rais wa interpol dunian alitekwa nchini ufaransa mpaka leo hii hajaonekana. Zimebak rumos tu kwamba katekwa na wachina au wakorea lakin hajaonekana. So haya mambo si mchezo mchezo kwa wenye uwezo wakiamua.
Na mbaya zaidi hainaga mazoea!Ile hainaga kuremba ikifyatuliwa u gone nothing more[emoji15]
HahahahaHapana, mke wako anayejiuza.
Kwani haujamsikia Mambo Sasa? Si kashasema Camera hazijanasa tukio #KiKi_Kwa_pikipiki....Akili Kumkichwa ukilemaa unaachwa ferry STUKA.
Sanaa tu...bullet nyoko! Mzungu alicheza paleNa mbaya zaidi hainaga mazoea!
Akipointiwa mzee mabeyo,au yule anayekaaga nyuma ya mzee kila anapoenda,unakuwa kama Toto ya miaka tatu,maji utasikia mmaaaa!!!
Akiambiwa mikono juu,ni swala sekunde mikono IPO juu!!!!!
Duh haki ya Mola wangu walahi
Hujafikiria kuhojiwa na Polisi.!kwa sisi wenye ndoa hii ya kwenda gym na kutekwa nzuri sana,unaondoka ijumaa jioni unaaga kwenda gym,unampanga msela wako atume sms kwa wife kwamba umetekwa habar zinasambaa kwa ndugu we kumbe uko Bunju kwa dogo dogo kakufungia ndani unakula raha,jumapili jioni unatoka mpk barabarani umejipaka tomato sosi unajifanya umeumia wasamalia wanakupeleka hospital wanampigia wife waki anakuja kukuona na kukudumia,unaruhusiwa unarudi home....maisha yanaendelea[emoji23]
Nadhani tuchukue bakora tuwachape hawa wapenzi wa simba na dharau zao, yani wengine wanacheka wakati wallet yao imeporwa na wazungu asubuhi ya leo,Mi nikajuaga sinema zilisha poteaga kumbe bado..
Kazi kweli kweli
Ndio Jiulize ziliwekwa za nini na MO katekwa na "WAZUNGU" ndani kabisa si umeona gari yake ipo ndani na hao wazungu wamepita getini kabisa na Kiusalama CCTV huwa zinaelekezwa kwenye geti ili kuona watu wanaoingia na kutoka ila hili la "WAZUNGU" hawajaliona.Duh sa hizo cctv ni za nn sasa kama zinashindwa kunasa kila anaeingia na kutoka au kila anaesogelea jengo husika!?
Haina macho ile ukisikia "PAAA" ujue imekukosa.Sanaa tu...bullet nyoko! Mzungu alicheza pale
Kulumbana na mgojnwa wa akili ni zaidi ya kujidhalilisha.Hapana, mke wako anayejiuza.
Kulumbana na sokwe ni kupoteza muda.Kulumbana na mgojnwa wa akili ni zaidi ya kujidhalilisha.
[emoji53]
Ni maombi yangu MO apatikane akiwa mzima na salama, kwa point yako hapo juu, ni kweli UNAFIKI wa Viongozi wetu na Watanzania kwa ujumla umefanya hivi vitendo viwe endelevu na vionekane ni vya kawaida, leo hii Mwigulu Nchemba anapiga kelele kuhusu hili, ingawa alikuwa waziri wa mambo ya ndani wakati matukio haya yameanza na hakuna hatua aliwahi kuchukua kama kiongozi mwenye dhamana.Na hiki ndicho kinaenda kuwatokea kila wasaliti wa kijamii. Social hypocrites wote kwa nyakati tofauti.
Haaahaaa..kitu kidogo kama pipi kinadondosha mwili nyumba[emoji23]Haina macho ile ukisikia "PAAA" ujue imekukosa.
Hatari hiyo kitu...Manati ya mzungu.Haaahaaa..kitu kidogo kama pipi kinadondosha mwili nyumba[emoji23]