...lafudhi...iNa ndio maana jiwe rafudhi yake haibadiliki.
Ukinunua mali ya wezi iko siku watakugeuka tu maana dhuluma ndio riziki yao.Zakariya alivamiwa na watu wasiojulikana akawapiga risasi mwisho tukaambiwa walikua askari, Zakaria sasa tunasikia yuko ndani na anarudisha mali yote aliyo nunua serikalini. Mo pia ni katika wafanyabiashara walio nunua viwanda vya serikali kwa bei poa kabisa. Tusije kusikia na yeye anarudisha mali ya serikali.
Hata yule demu wa Babu seya inadaiwa sio mtzSijui unazungumza lugha gani?Hii mbegu ya ubaguzi mnaisambaza sana huko lumumba!Mara makabila,mara utanzania
Kivyovyote vile,ilimradi wana vielelezo vya utanzania basi wao ni watanzania!
Baki na ujinga waki hivyo na roho ya kibaguzi,ila kwanza ungeanza kumbagua kinana,Rostam,Zungu,Mama Mwinyi na wengine wengi waliojaa huko ccm!
Nadhani ni muda muafaka sasa kwa Mtu yeyote maarufu na mwenye uwezo mkubwa wa kifedha kuajiri walinzi wake binafsi. Tusijidanganye kwamba tuna Amani kiasi hicho!!
Hakuwa na walinziIna maana huyu hakuwa na walinzi binafsi? Mbona wasanii kama Diamond huwa wanakuwa na walinzi??
Tunachafuliwa haki ya MunguAfrica's youngest billionaire kidnapped in Tanzania | World news | The Guardian
https://www.theguardian.com › oct
3 hours ago · Mohammed Dewji reportedly abducted by gunmen as he entered gym in Dar es Salaam.
Kwahiyo walinzi wanazuia utekaji??Ina maana huyu hakuwa na walinzi binafsi? Mbona wasanii kama Diamond huwa wanakuwa na walinzi??
Hivi bodyguard anazuia utekaji kweli?? Like serious??[emoji15] [emoji15] [emoji15]Bilionea ni vyema angekuwa na bodigad
Usalama wa taifa sio wahitimu wa MEMKWA.. .. Usalama ndio kitu kikubwa kimewaweka hapo wanalamba pesa ndefu.Sio kila taarifa usalama wa taifa wanaweza kuipata.
Mfano wewe unajua mimi nina mipango gani katika maisha yangu?
Usidhani usalama wa Taifa ni Miungu ni watu kama wewe hawawezi kuwa na taarifa zote kuhusu kinachotaka kufanyika.Usalama wa taifa sio wahitimu wa MEMKWA.. .. Usalama ndio kitu kikubwa kimewaweka hapo wanalamba pesa ndefu.
kuhusu wewe kuwaza nini Wapo watu wa kaz hiyo sio blaa blaa
Pengine angechapwa shaba... bodygurd ni hoja ila ukihitajika unanaswa tu kaka... walinzi pale hotel wamesikia mlio wa risasi wakalala nyasi.Bilionea ni vyema angekuwa na bodyguard
Kunyampa 😆😆Sio kila taarifa usalama wa taifa wanaweza kuipata.
Mfano wewe unajua mimi nina mipango gani katika maisha yangu?