Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Habari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?

Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?

Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?

Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?

Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?

Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???

Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!
Mmmmh masoud kipanya alifanya nn tena?
 
Wakiwahitaji watasema ni Watanzania, lkn moyoni ni Wahindi 100%, rafiki zao ni Wahindi, wazazi wao ni wahindi, wake/girlfriends zao ni Wahindi, chakula, lugha na hata cocobeach ukienda wana sehemu yao Wahindi watupu!
Mo si muhindi ni waarabu asili wa kinyaturu.
Pale Singida unaweza zama kati huko porini kabisa na utawakuta wanaishi na wanafanya kilimo na biashara. Sema kujichanganya kwao ni kukaza dada zetu.we usiwaguse
Nilionja kidogo Zafrani Na Noorie enzi za utotoni
 
Lakini wanaume wa dar hebu mtuambie yani mlikua gym na mmeshindwa kumuokoa Mo au huko gym mnaendaga kujaza ujinga ama
 
Hivi kumbe hakuna mzungu ambae ni raia wa Tanzania?
 
Kuna kipindi waziri mmoja mnene anavaa nguo kubwa aliulizwa kuhusu watu kupotea akajibu "ni watu wazima wameenda kujitafutia maisha".......nadhani Mo kaenda kujitafutia maisha muacheni akifanikiwa atarudi.
Ndio wanapoona faida ya kurooka ropoka, jee ikitumika kauli hiyo kwa sasa itaeleweka?
 
Back
Top Bottom