Maxmizer
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 4,799
- 4,226
Yupo mzungu kichaaHivi kumbe hakuna mzungu ambae ni raia wa Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo mzungu kichaaHivi kumbe hakuna mzungu ambae ni raia wa Tanzania?
Nimesikia kapatikana Eti au..!!!?????Tupo ukrasa wa 85 wa majadiliano; sijaweza zipitia zote - yaani adi hivi asa hivi MO wetu hawajamrudisha????
Hiiiiiiiii!!!!
Tupo ukrasa wa 85 wa majadiliano; sijaweza zipitia zote - yaani adi hivi asa hivi MO wetu hawajamrudisha????
Hiiiiiiiii!!!!
Leo kuna bosi Wangu mzungu tulikua tunaongelea hii issue ya Mo jamaa aliogopa sana ilabidi nifanye kazi ya kumtoa hofu kuwa haya matukio ni mapya na hayatokei often!
Au.Nimesikia kapatikana Eti au..!!!?????
Au mihogo...
1 + 0 = 1mathematics...
mi najiuliza tuu yule mkuu wa interpol aliyetekwa amepatikana? imepita mwezi? je kuna record yoyote inayoosha matukio kama haya yametokea mangapi ndani ya huu mwezi? watu hao ni maarufu? vipi historia zao? kuanzia elimu zao na mambo mengine mengine? vipi muonekano wa miili yao katika mazingira fikirishi...mathematics1 + 0 = 1
1 × 1 = 1
1 × 0 = 0
Hiyo ya mwisho haina maana saana.. huwezi kuwa na kitu ukakizidisha na garasa eti ukakosa kabisa!!! Kha!!
HahahahaWewe ndo unalazimisha hivyo lkn ni Muhindi hata ukimuuliza atakwambia yeye Muhindi!