Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Tupo ukrasa wa 85 wa majadiliano; sijaweza zipitia zote - yaani adi hivi asa hivi MO wetu hawajamrudisha????

Hiiiiiiiii!!!!
 
Tupo ukrasa wa 85 wa majadiliano; sijaweza zipitia zote - yaani adi hivi asa hivi MO wetu hawajamrudisha????

Hiiiiiiiii!!!!

Mkuu na mi ndo nimeingia hapa...
Ukijibiwa nitag!?
 
Leo kuna bosi Wangu mzungu tulikua tunaongelea hii issue ya Mo jamaa aliogopa sana ilabidi nifanye kazi ya kumtoa hofu kuwa haya matukio ni mapya na hayatokei often!

Mbona mashuhuda kila mmoja anasema lake, Mara dereva wa Uber aseme watekaji walikuwa wamefunika nyuso zao hakusema walikuwa in wazungu, mara wengine waseme ni wazungu - tuamini lipi tuache lipi!

Ninavyo wafahamu wazungu hawana hulka za kuingia nchi za watu na kuteka nyara RAIA mchana kweupe, hata kama wanamdai au wana issues naye Mara nyingi watakwenda kwenda vyombo vya Dola au Mahakama kudai haki zao na sikuteka watu - my opinion.
 
Msihangaike saaana; hivi movi la Zakaria mmesahau?? asingekuwa mafia mngejua leo yupo wapi???

Huwezi kwenda mbele bila kuangalia ulikotoka.. utapotea!!! Kalagabaho!!!

Wacha nioge nilale; mama kayai ananisubiria kitandani...

Ukiwa kapuku unaishi fresh tu; matajiri wanaishi ulaya; wenye akili wote wanaishi nchi za waliostaraabika ...
 
Nashauri mabenki nchini kuangalia kwa umakini miamala ya kampuni na akaunti binafsi za kija a huyu tajiri isijr kuwa kuna watu wanataka kuhamishia hela kwao.

Kuna haja hiyo isipokuwa kwa shughuri za uendeshaji wa kibiashara
 
Mzee mwenye degree ya criminology hajatia neno? Le mobimba nyee nyeee
 
1 + 0 = 1
1 × 1 = 1
1 × 0 = 0

Hiyo ya mwisho haina maana saana.. huwezi kuwa na kitu ukakizidisha na garasa eti ukakosa kabisa!!! Kha!!
mi najiuliza tuu yule mkuu wa interpol aliyetekwa amepatikana? imepita mwezi? je kuna record yoyote inayoosha matukio kama haya yametokea mangapi ndani ya huu mwezi? watu hao ni maarufu? vipi historia zao? kuanzia elimu zao na mambo mengine mengine? vipi muonekano wa miili yao katika mazingira fikirishi...mathematics
 
Wanaojua vizuri shaba zililia kama ngapi? Kuna wanaosema eti na yeye angekuwa/ana kifyatuaji angetumia..je wanajua ambush ni nini?
 
Back
Top Bottom