kazubhazu masesa099
Member
- Oct 9, 2018
- 5
- 2
Mmmmh masoud kipanya alifanya nn tena?Habari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?
Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?
Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?
Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?
Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?
Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???
Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!
Hayo ya time will tell ndo yanayoua nchi yetu. Anauawa mtu tunaishia time will tell
Mo si muhindi ni waarabu asili wa kinyaturu.Wakiwahitaji watasema ni Watanzania, lkn moyoni ni Wahindi 100%, rafiki zao ni Wahindi, wazazi wao ni wahindi, wake/girlfriends zao ni Wahindi, chakula, lugha na hata cocobeach ukienda wana sehemu yao Wahindi watupu!
Duh basi kama kuwa na chapaa ndo kuwa rich,Tz tuna watu ma-rich kibaoMgwebe.. Kuna rich hasokuwa na chapaa?? I.e. destitute?? Jibu no hakunaga
Kama nakuelewa hiviPesa ya kununulia Wapinzani
Huyo bilionea mwenzangu labda katekwa na YangaTupeni Update wadau wa DSM.......Bado tu hajapatikana?
Hapana mkuu katekwa na WAZUNGU WAWILI Waliovaa MASK.Huyo bilionea mwenzangu labda katekwa na Yanga
Noma alijiamini sana,na ilaelekea waliombeba walimsoma muda tuHakuwa na walinzi
Duuh nimeanza kuishi na kukomenti kwa hofu maana mabilionea tunawindwaHapana mkuu katekwa na WAZUNGU WAWILI Waliovaa MASK.
Tafuta Walinzi wawe na SMG au Ak47 kwa kukulinda kila sehemu unapoenda.Duuh nimeanza kuishi na kukomenti kwa hofu maana mabilionea tunawindwa
[emoji69] [emoji69] [emoji69]Mambo bado magumu..these things might be serious..
Ndio wanapoona faida ya kurooka ropoka, jee ikitumika kauli hiyo kwa sasa itaeleweka?Kuna kipindi waziri mmoja mnene anavaa nguo kubwa aliulizwa kuhusu watu kupotea akajibu "ni watu wazima wameenda kujitafutia maisha".......nadhani Mo kaenda kujitafutia maisha muacheni akifanikiwa atarudi.
Walinzi tu wamelala nyasi... Itakuwa hao wanaogopa Panya roadLakini wanaume wa dar hebu mtuambie yani mlikua gym na mmeshindwa kumuokoa Mo au huko gym mnaendaga kujaza ujinga ama