Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

habal wanna bod

vijana wa jf tunafahamu fika @ mo dewj alivo mkarimu, mweny kupenda kutoa msaada kwa watu wa kila rika .Nadhan na sisi tumwoneshe tuna mjali kwa kiasi gani .si mbya tukafanya Compaign ya #BringBack mo ,ama turudishiwe mo wetu

huu ni mtazamo wangu jamn
 

ukiangalia too much Hollywood movies matokeo yake ndo haya. halafu tunategemea kukuza nchi ktk uchumi wa kati kwa kutumia vijana kama ninyi na mawazo kama haya
 

Dah!, nawe ni binadamu mwenye kichwa!!! Ni afadhali usingezaliwa. Unatupotezea oxygen bure!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…