danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,524
Hajapatikana mkuu. Taarifa ya kua kapatikana ilitokana na watu kumnukuu vibaya RC asubuhiHivi members,hadi sasa kapatokanq au bado maana huu uzi nmeusoma wote taarifa full kugongana
Dereva kafanya nn acha kudouble standard hoja.umeambiwa wasiojulikana cha mcngi ni kamera za CCTV but kama bungeni zilitoka hapa zitakuwa n mbovu kwa musa huo Wa tukiohuyo dereva wake ashikiliwe mara moja asije akatoroshwa kama yule wa lissu...
Ila to be honest Mo alikua anajiexpose sana. Kama mfanyabiashara mkubwa ni wazi hawezi kosa maadui. Kwa status yake hakutakiwa kua exposed sana, tena bila ulinzi, inashangaza. Kuna siku mpaka alipanda boda boda town. Afu jamaa mara nyingi huwa yuko peke ake kwenye gari, wakati mwingine anasafiri hivyo mpaka singida
Mtandike hata tusi la kimafumbo![emoji23]bado naipenda JF mkuu
RFID ni kitu cha kawaida kwa wenzetu, tatizo je aliweka MO!?...ukiangalia too much Hollywood movies matokeo yake ndo haya. halafu tunategemea kukuza nchi ktk uchumi wa kati kwa kutumia vijana kama ninyi na mawazo kama haya
Ni siasa za mambosasa hizo.Hao “watu watatu” wanaoshikiliwa vp hawajatoa taarifa za maana kuhusu hao wazungu waliomteka Mo?