Indeed walahiDah ulichoandika nimeona aibu mimi
Fact!RFID ni kitu cha kawaida kwa wenzetu, tatizo je aliweka MO!?...
Na kama aliweka hawa watekaji wa kumbeba mtu hotel kama Colleseum ina maana walikua na A-Z za MO basi wana hadi tech ya kuzuia Signal za hicho kifaa!.
Tumerudi Zero!.
AiseeeHauna tusi lolote karibu umtupie?
Wawahi CCTV camera za hapo Colosseum mapema kucheki tukio zima
Hata kibiti Sirro alisemaga wanashindwa kuingiza vikosi vyao vya polisi kwa sabubu ya njia za vichochoro na mapori kufika inakuwa vigumu,kwa hiyo mimi nimemuelewa Mambosasa alivyosema ni wazungu.Katika ukusanyaji wa ushahid/taarifa it is scientific procedure kuanzia kuanza kuchunguza na ni lazima wakusanye taarifa zile zilizoonekana katika eneo la tukio hayo mengine yatakuja tu kama ni wahindi au wachina ila kwa sasa walionekana pale ni whiteman so acha vitengo vya instigation wafanye kazi yao waza kisomi
Naomba tuache kabisa kuhusisha serikali na mambo ambayo si kweli.kuna ujambazi na uharamia mkubwa unafanyika nchini kila siku hivi ni kweli serikali ndio inahusika, hapana si kweli.tukio la kutekwa MO ni tukio lililopangwa na watu wabaya sio serikali.Mo ni mfanyabiashara inawezekana kabisa akawa na maadui katika biashara zake,au kuna watu wanataka kumtumia kama njia ya kupata pesa.tukio kama hilo sio la kwanza hapa afrika kwa mfanyabiashara kubwa kama mo kutekwa na waalifu na baadae kudai pesa.Tuache vyombo vya serikali vifanye kazi yao.sisi kama raia tuwape support ili kazi yao ifanikiweHata kibiti Sirro alisemaga wanashindwa kuingiza vikosi vyao vya polisi kwa sabubu ya njia za vichochoro na mapori kufika inakuwa vigumu,kwa hiyo mimi nimemuelewa Mambosasa alivyosema ni wazungu.
Umewaza mbali sana mkuuNi siasa za mambosasa hizo.
Ukifuatiliwa utakuta hakuna kitu zaidi ya wazururaji watatu waliobadilishiwa makosa ili kutengeneza scenario.
FactHawezi rudi kwa hashtag.
Tulishashindwa kuleta change wacha tupate tabu
Kuna issue ya ransom hapo watu hawajui.Naomba tuache kabisa kuhusisha serikali na mambo ambayo si kweli.kuna ujambazi na uharamia mkubwa unafanyika nchini kila siku hivi ni kweli serikali ndio inahusika, hapana si kweli.tukio la kutekwa MO ni tukio lililopangwa na watu wabaya sio serikali.Mo ni mfanyabiashara inawezekana kabisa akawa na maadui katika biashara zake,au kuna watu wanataka kumtumia kama njia ya kupata pesa.tukio kama hilo sio la kwanza hapa afrika kwa mfanyabiashara kubwa kama mo kutekwa na waalifu na baadae kudai pesa.Tuache vyombo vya serikali vifanye kazi yao.sisi kama raia tuwape support ili kazi yao ifanikiwe
Tuna uzoefu na Polisi. Tumefanya nao kazi, ni genge fulani la kawaida la uhaUmewaza mbali sana mkuu
Yea IST wanawahi kuanza na kumalizaMtu azaliwe 1975, shule ya msingi amalize 1986, yaani alimaliza elimu ya msingi akiwa na miaka 11? Hiyo sio elimu ya Tanzania na haiwezi kuwa elimu ya msingi ya miaka 7.
Vv
Kwanini utuaminishe kuwa ni maadui wake kibiashara??..una uhakika kiasi gani?Naomba tuache kabisa kuhusisha serikali na mambo ambayo si kweli.kuna ujambazi na uharamia mkubwa unafanyika nchini kila siku hivi ni kweli serikali ndio inahusika, hapana si kweli.tukio la kutekwa MO ni tukio lililopangwa na watu wabaya sio serikali.Mo ni mfanyabiashara inawezekana kabisa akawa na maadui katika biashara zake,au kuna watu wanataka kumtumia kama njia ya kupata pesa.tukio kama hilo sio la kwanza hapa afrika kwa mfanyabiashara kubwa kama mo kutekwa na waalifu na baadae kudai pesa.Tuache vyombo vya serikali vifanye kazi yao.sisi kama raia tuwape support ili kazi yao ifanikiwe
Itakuwa ni wananchi wa kimara aliowabomolea nyumba zao kwa hila ndio wanamuhujumu!Hii Serikali imeshamfanyia kila mdau figisu.
Sasa Jiwe akikaa ofisini anawaza;
"Labda ni wakenya niliowachomea vifaranga vyao Moto......??"
"Au labda ni Barick wananihujumu....??"
"Au ni Sumaye niliyemnyang'anya shamba.....??"
"Hapana, itakuwa ni Mbowe maana yeye ndio nimemvurugia club nikaharibu na shamba....??"
"Au ni Lissu,maana huyu nae alikula risasi nyingiiii...??"
"Au Nape....??"
"Au Lema....??"
"Itakuwa Maalim Seif kwasababu naiua Cuf..??"
"Atakuwa nani huyuu.,..??"
"Au Manji...??"
"Rugemalila na Seth...???"
"Sijui itakuwa nani...???"
"Au wananchi tu wananihujumu...??"
"Ila ntalala nao mbeleee...!!"