Wewe na nani mmeshachoshwa na hizo story?Nanyie tumeshachoka na thread za Mo! Tangu asubuhi mnabadikisha heading ila content ileile
Umemsahau Azori mkuu.Habari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?
Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?
Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?
Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?
Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?
Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???
Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!
Tuache wivu.....wanahaki ya kufunga....si hivyo tu, gari lake kaandika "MO," bilionea unaji expose, unakuwa ka Diamond Platinumz aliyeishia shule ya msingi Tandale?
halafu anatekwa airport zinafungwa, Kamanda Mambosasa anasema mipaka ya nchi imefungwa, ndio kuwekwa mfukoni na matajiri huko!
Nyerere is cringing in his grave he is so apoplectic, I mean, Julius Nyerere kamwe asingeweza kufunga mipaka eti tajiri mmoja katekwa.
Sikutegemea kwamba wewe ni mbaguzi kiwango hichi.Muhindi ndo role model wako?
Yule jamaa miaka yote hanaga mabaunsa hata ndugu zake na babake hawanaga manaunsa, mlinzi ni Mungu tu bro kama unaishi na watu vizuri mabaunsa wa nini?Kuna issue ya ransom hapo watu hawajui.
Kibongobongo watu wanakutengenezea sinema wanalamba chao.
Bro nae hakujielewa tu angeweka vibaunsa viwili pale wale wakipanga mikakati wangechelewa kidogo wakivifikiria..
Kiswahili kigumu[emoji41]
Kuja wapi labdaKwa hili lazima mosad waje
Acheni mambo yenu ya instagram mnaleta huku ,umelipia tangazo?Faida za kutumia formula yangu ya matunda (tibalishe)
Lazima uwe na whats app ndio utumiwe formula kama huna whats app usitume pesa zako hutopata formula
1.kukufanya uwe na uume imara
2.kukufanya uwe na uume usiosinyaa ukeni kabla ya kuingiza na baada ya kuingiza
3.kukufanya uume usimame haraka na kudumu ukiwa imara
4.kufanya uchelewe kumwaga shahawa wakat wa tendo la ndoa utachukua dk 15_25
5.kukufanya uwe na shahawa nyingi na bora
6.kukufanya uwe na shahawa zinazookimbia kwa kas wakat wa kusex
7.kukufanya urudie tendo la ndoa zaid ya mara tatu bila kuchoka
8. Hukufanya uwe na hamu ya tendo kama zaman unaweza ukasex kila siku round mbili na hamu isiishe lakin haikufanyi ikusumbue kutaka mwanamke kila mda hapana unakua kawaida kabisa kama ulivyo mpaka utakapoamsha hisia zako mwenyewe ndio hamu inakuja kwa ufupi unakua dereva wa hisia zako.
9.kuimarisha mishipa iliharibiwa na punyeto
10kuimarisha misuli ilihoharibiwa na punyeto
11.kuzibua mishipa iliyoziba kwa mafuta yanayoganda mwilin
12.kupandisha uzalishaj wahomone kurudi katika hali ya kawaida.
13.kuchochea usamabazaji wa damu kwenda sehem mbali mbali za mwili
14.kuipa afya njema mishipa ya moyo (artery na vein)
15.kuondoa hatar ya kupata shinikizo la damu
16 kuondoa hatar ya kupata ugonjwa wa moyo
17 huindoa sumu mwilin na kukufanya ujisikie mwepesi
18. Huondoa kitambi na mafuta mwilin
19. Kukufanya uwe kuona vyema
20. Kukufanya uwe na kinga imara na ya hali ya juu kupambana na magonjwa
0712505049
@pona_nguvu_zakiume_kwa_matunda
Walau Neno mkuu, wachangiaji wengi uzi huu Sijui walikua bar!? tufikiri majibu challenge zetu,JF tuna hazina kubwa.RFID ni kitu cha kawaida kwa wenzetu, tatizo je aliweka MO!?...
Na kama aliweka hawa watekaji wa kumbeba mtu hotel kama Colleseum ina maana walikua na A-Z za MO basi wana hadi tech ya kuzuia Signal za hicho kifaa!.
Tumerudi Zero!.
Yaani ni afadhali wangenyamaza; kuwasingizia wazungu wamechemka big time! Time will tell!Hii update kuwa katekwa na wazungu,inanipa maswali mengi sana na mojawapo ni wazungu gani hao wa kumteka mtu tajiri kama huyo tena wakiwa katika nchi ya watu?
Wanajiamini nini?
Kwani tunajadili nn babu?Kuja wapi labda