Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Kumteka tajiri namba 1 Tanzania Top 10 richest people in Tanzania (orodha ya matajiri 10 Tanzania) - JamiiForums ni kutangazia ulimwengu kuwa Tanzania sio salama tena kwa wawekezaji. Na hii italeta na negative impact kwenye uchumi wetu huu wa kusuasua.
Kama Mo alikua na makosa kwanini hawakumfungulia mashtaka na kumpeleka mahakamani? Au kwanini hawakumuita kiustaarabu na kumhoji?
Hili ni kosa kubwa sana na waliolifanya wanaitaji kushighulikia ipasavyo.
Kama Mo alikua na makosa kwanini hawakumfungulia mashtaka na kumpeleka mahakamani? Au kwanini hawakumuita kiustaarabu na kumhoji?
Hili ni kosa kubwa sana na waliolifanya wanaitaji kushighulikia ipasavyo.