NaughtyGuy
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,747
- 1,939
Anatoaga maboko mapema huyu kama vile watarudi kabla ya j2Keshaanza kujichanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatoaga maboko mapema huyu kama vile watarudi kabla ya j2Keshaanza kujichanganya
hawataweza kutaja nchi wanajua wazungu watavo wazingua wakichafua jina la nchi yaoNasikia Mungu wa dar kasema eti wale wazungu ni wageni!! Je ni wageni wa nchi gani???
Vipi mkuu, kapatikana?
Wakifanikisha utani pm. Kwa mana inasemekana waliomteka ni wazungu na serikali ipo inajuwa wageni wake wote waliopo nchini sasa kama jamaa wameweza kuteka mtu homeland kwake si kwere hii mzee mwenzangu.Hili si tukio dogo. Ni vyema serikali ikalibeba kwa uangalifu mzito.
Utawala mbaya sana huu. Mambo waliyomfanyia Mheshimiwa Lissu yalinisikitisha sana bado wanaendelea! Halafu bila aibu polisi inadai ni wazungu. Polisi ilijuaje ni wazungu au wanapotosha makusudi? Kama waliwaona ni wazungu kwa nini hawakuwakamata mara moja?Duh!Watu wasioujulikana hao bila shaka!
Hii nchi sasa!!
Walitekwa na kupotea watu wa kawaida, tukaona ni mambo madogo.Leo wanatekwa matajjri na watu maarufu labda sasa ndio tutashituka.
Nakumbuka pia yaliompata Lissu na mfanyabiashara wa Tarime bwana Zakaria.
Wacha tusubiri tuone nini kinaendelea tutapata picha kamili.
Kwa sasa wanaweza kuwa wanapima upepo.Pressure ikiwa kubwa,wanaweza kumwachia ikiwa mpaka sasa bado yuko salama.
Hii update kuwa katekwa na wazungu,inanipa maswali mengi sana na mojawapo ni wazungu gani hao wa kumteka mtu tajiri kama huyo tena wakiwa katika nchi ya watu?
Wanajiamini nini?
Mkuu wachache wenye maono ya mbali.we gine mbugila tu.mchezo mchafuHahahaaa usiku ule Mwenyekiti CCM tarime alitwambia ni majambazi, Alfajiri yake Adam Malima akakurupuka kutwambia eti ni askari usalama walikuwa wakitekeleza majukum yao baada ya kupigwa risasi na Ccm mwenzao Zacharia.
Ikumbukwe mwezi mmoja nyuma kuna Mfanyabiashara aliokotwa kwenye gunia kualiwa ktk fukwe za victoria.
Share nasi unachowaza mkuu,, me nilivyosikia ni wazungu ,hisia zangu nahisi kuna jambo ,,Duh! Mungu aepushe kile ninachowaza.
Alijiamini nadhani alijiina kwa sababu hana makandokando kwa akajiona yupo salama.Naonaga mo anajiachia ina maana hatembeagi na walinzi anatembea kama sisi kapuku
Waliofunika uso wamewajuaje kama ni wazungu? Wahindi, wachina au warusi maana hao ndo wanaujuzi wa kupoteza watu chini ya Putin. Labda wakwetu wamekwenda kozi huko.Dah tunaletewa movie nyingine
.sijui itakuwa na part 2?
.sijui itachezwa kwa ustadi au itafanana na zile nyingine?
.sijui inataka kumpa kiki nani ?
Wakati utasema...stay tuned....!!!!