Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Mambosasa anavideo footage kua ni wazungu na kadhibitisha bila kutia shaka ama kaona rangi tu akakutupuka kua mi wazungu??
Usikute ni wale Wazungu wanaopigia Watu simu wakanunue madawa gani sijui na baadae wanawaliza.
 
Kwa akili zangu nilikuwa najua watu waliofikia level kama hiyo kuna mambo mengine ambayo hawashindwi kuyapata kuwa nayo katika mazingira yao yanayowazunguka kwa usalama zaidi ...mfano kuwa na gym binafsi kwa tajiri kama huyu nahisi ingelikuwa poa

Ila kuna kipindi alikuwa anapost mambo ya madeni maden sijui tuunge doti ?
Hii issue tatizo linachukuliwa kisiasa zaidi....
Kwa kweli ili kuepusha mengi matajiri wanatakiwa wawe makini maana wanaangaliwa na watu wengi sana wema kwa wabaya.

Yule ni tajiri na mfanyabiashara yawezakuwa ni utekaji wa kawaida tu lengo la watekaji wapate pesa au ni kwenye mambo yao ya kibiashara.

Nilijua kwa sababu jamaa ni mwanachama wa CCM watu watasema ni utekaji wa kawaida...ila mpaka sasa kuna stori zimeanza kuundwa.
 
Wazungu! Hii movie mpya, upinzani wa biashara au ni nini
 
Mhe.mkuu wa mkoa wa Dar- es- salaam Paul Makonda ametangaza kupatikana kwa mfanyabiashara Mo akiwa salama. Pia ametangaza kukamatwa kwa watekaji wake.Alhamdulillah
 
Mo ni mtu wa watu sana. Nimewahi kumuona mara kibao tu anatembea kwa miguu tena peke yake. Nadhani ana maisha fulani mbali na utajiri alionao unamfanya aoenekane wa kawaida. Sijui watekaji wanataka nini?? Mungu amsaidie wamrudishe salama.
Nimejikuta naogopa zaidi Leo. Kama Mo anatekwa kina sisi usalama wetu ukoje? Haijalishi ametekwa Kwa sababu IPI ila ile kutekwa tu tayari ni hatari Kwa usalama wetu.
Mungu amlinde huko alipo atoke salama.
Sema hii nji bwana unaweza kuta sio wazungu wala nini likawa Kama lile tukio LA Zakaria Na Majambazi kumbe ..........
 
Hamna kuishi na watu ukishakuwa bilionea wa kidunia huwezi kuishi kama raia wa kawaida watu wanaoweza kujudhuru ni wengi.

Ww unadhani unaweza kukutana na Abrahamovic anatembea bila hata mlinzi?!eti anaenda public gym ni uzembe wa hali ya juu hamna bilionea wa kidunia ambaye anaishi kama kuku wa kienyeji eti aende public gym bila ulinzi.


Huko kwny viwanja vya mpira kwenye kumetengwa maalum kwa watu muhimu labda ww ndio hujui
Hapana inategemea na mtu...fuatilia maisha anayoishi Warren buffet au aliyokuwa akiishi Steve job utaona..ni wewe tu jinsi unavyojiweka na jamii..
 
Back
Top Bottom