Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Nimesikiliza clip ya Makonda, amenukuliwa vibaya. Mo hajapatikana jamani sikilizeni hiyo clip tena.

Makonda amesema jeshi la polisi lipo kuhakikisha jiji la Dar lipo salama, na kuwa watu wote tunahitaji majibu sahihi, na majibu sahihi ni kuwa MO amepatikana,,,, hivyo jeshi la polisi lipo kutafuta hayo majibu sahihi na kuyaleta.
 
ukiwachukia wafanyabiashara huwezi kutawala kwa amani, huo mtandao una nguvu sana kiasi cha kuhujumu uchumi wa nchi wakiamua kuungana
Sasa mkuu kwanini usishughulike na hawa watu by the LAW aisee?

Halafu usifanye kazi kwa kumuonea mtu,wata-react halafu watakusumbua sana utawalani....

Prz hawezi ita mtu eti akaacha kuja tu,hicho kitu hakipo....mnahisi vibaya tu....

Sema jamaa hapendi wafanyabiashara anawafanyia persecution...
 
Serikali iliyoshamili uongozi wa Vitisho, utekaji, utesaji na uuwaji wa Wananch wake wasiyo na hatia zaidi ya utoaji maoni kinzani. Utekaji na uuwaji wa Matajiri, nako kunatokana na wao kugoma kutoa/kuchangia Pesa yao kwenye Serikali hii dharimu isiyo na nidhamu na kodi ya Wananchi!
 
According to Mr. Mambosasa, three people have been arrested in connection to the incident. The police said all entry points around airports and other exit points have been closed.

Nilidhani kuimarisha ulinzi ingetosha!
Kwahiyo taratibu za kusafiri Leo kutoka Dar ni hamna au?
Can't understand this!
Yah njia zote zimefungwa barabara, aiport, bandari hakuna kutoka mpaka apatikane
 
Kipanya...
573d1b8e0dca658df31e59451b7fb77b.jpeg
 
Na wewe unaamini ni wazungu boss?
Mimi nabeba taarifa za kutoka kwenye tukio mkuu kwamba waliomteka Mo ni watu wanaojulikana ni wazungu ngoja kwanza tushikilie hilo kwanza for the mean time tutapata ukweli wote baadae
 
CCM wana kikao mda huu wanamlaumu le mutuz kwa kuwatengenezea Sinema ya kishamba ambayo imefeli vibaya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ametoa taharifa kabla ya tukio
 
nimeisoma hiyo post, ikiwa ni kweli kazi tunayo
Hata Mimi mwanzo kabisa nilihisi amezinguana Na wafanyabiashara wenzie huko duniani Sasa wanalipa kisasi. Kuna MTU kaandika kitu cha tofauti nacho kinamake sense
 
Back
Top Bottom