Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kama tulivyosahau ile 1.5 trilion au makanikia au local channel kuzimwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama tulivyosahau ile 1.5 trilion au makanikia au local channel kuzimwa!
Kabisa mkuuKama tulivyosahau ile 1.5 trilion au makanikia au local channel kuzimwa!
Wakubwa wanajua kinachoendeleaa...! Uhujumu wa mwendokasi naona ushasahaulikaaa.... Tanzania nchi ya wajingaa aisee tunachezewa balaaaSifikiri kama inshu ya Mo itakuwa kama ya Ben wa saanane, mie naona Mo kajiteka kama Abdul nondo, kwani dogo abdul ilichukua muda gani mpaka kuonekana?
Haya mambo eti yameshaanza kuwa kawaida. Hii ni hatari kwa ustawi wa taifa letuNdugu watanzania kama kawaida yetu wazee Wa matukio
Alianza Ben siku ya kwanza ya pili yavtatu ya nne tukamsahau mpaka Leo mwaka Wa pili unaelekea kuisha Ben hajulikani halipo na tumesahau kabisa
Akafuata Azory siku ya kwanza ya pili ya tatu ya NNE ya tano mpaka Leo azory tumemsahau na maisha yanaendelea
Sasa amefuata bilionea MO siku ya kwanza tukaongea siku ya pili tukaongea siku ya tatu tukaanza kusahau
Siku ya NNE nayo imepita
Kimasihara masihara hivihivi tumeanza kusahau na maisha yameanza kusonga kama kawa
Bado najiuliza Leo siku ya NNE hajapatikana na watanzania wameshaanza kusahau sasa hivi huyu atapatikana kweli au ndio Yale Yale ya akina Ben? Ngoja niishie hapa
TIME WILL TELL
Watawala wanatujulia nasasa wameamsha Story ya Kubenea na Komu watu watahamishia povu huko na MO atabaki storyAliyesema waTz tuna ubongo wa kuku au Samaki hakukosea kabisa. Tunasahau haraka sana.
Sijui kwanini?
Turning point ishindwe kua kwa yule Mkurya Tajiri Zakaria ije kua kwa huyu muhindi?Nakuhakikishia hii ndio turnining point kwenye haya masuala ya kutekana tekana kisoro.
Kuna tofauti kati ya hao akina Zakaria na Malima na Mo.Turning point ishindwe kua kwa yule Mkurya Tajiri Zakaria ije kua kwa huyu muhindi?
Kwa yule mkurya tena Adam Malima kasema watekaji walikua ni usalama wa Taifa na hakuna turning sembuse kwa huyu
Yani unaweza ugua kichaa kwa kuwazaa...Just imagine Kijana tajiri wa miaka 43 anapotea kiutani utani tuu yanii...!! Aisee inaumizaa Sana.. Means makampuni aliyokuwa anaendesha MO yatakufaa... sijui hao vijana ajira atawapa naniMambo mengine yanafikirisha sana! Alafu hakuna majibu.
Baba tulichoka zamani Sana...Ila ndo hatuna cha kufanyaa!!Kuna tofauti kati ya hao akina Zakaria na Malima na Mo.
Kwanza mimi hao ndio leo nawasikia kwako. Na Mo sio mhindi ni Mtanzania.
Mo ana impact kubwa sana kwemye jamii ya Tanzania, East Africa na Africa kiujumla. Msitarajie International Community in pull blind eye kwenye hili suala.
Watu watachoka kuvumilia ujinga huu. Tumechoka kabisa haya masuala.
Hata akipatikana kisomo mbona kilisomwa na bado vinasomwa. Si na ndugu tu hata wale wanaopats rizk kupitia Mo wewe achaKama MO akipotea mazima basi huo ndio utakuwa mwisho wa wasiojulikana....Ndugu zake lazima wapige kisomo HEAVY ambacho kitawadondosha hao wazungu waliomteka MO.