nasnay
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 599
- 911
Babaako anatokea trinidad and tobago?Wakubwa wanajua kinachoendeleaa...! Uhujumu wa mwendokasi naona ushasahaulikaaa.... Tanzania nchi ya wajingaa aisee tunachezewa balaaa
Hata nchi zilizoendelea hutokea matukio kama haya na si mepesi kuyatatua kama kutafuta kuku ambaye hajarud bandani jion. Labda una akili za kuku kama wachangiaji wengine walivyoainisha, Marekani na miguvu yake yote iliwachukua muda gani kuyafaham maficho ya Osama? Utasema huyo alikuwa na mtandao mpana sawa, ni muda gani umepita toka wale mabinti wa Nigeria walivyotekwa shuleni? Na hilo lilikuwa kundi ambalo huwezi kuwasafirisha bila kuwa na nyenzo zakutosha sembuse mtu mmoja ambaye akiwekwa hata kwenye ki ist na tinted mlizokataa zisitolewe kwa mapovu mengi unaweza hata mpitisha barazani kwako na usijue wapo watu wangapi humo! Mtu anayebeza utendaji wa jeshi la polisi as if yeye ni comando ni mnafiki nyuma ya keybord hana lolote! Sifurahii hali hii kutokea ila sipendi mtu kujiona he is above everything.
#hpetoseeyouagainMo