Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Wakubwa wanajua kinachoendeleaa...! Uhujumu wa mwendokasi naona ushasahaulikaaa.... Tanzania nchi ya wajingaa aisee tunachezewa balaaa
Babaako anatokea trinidad and tobago?
Hata nchi zilizoendelea hutokea matukio kama haya na si mepesi kuyatatua kama kutafuta kuku ambaye hajarud bandani jion. Labda una akili za kuku kama wachangiaji wengine walivyoainisha, Marekani na miguvu yake yote iliwachukua muda gani kuyafaham maficho ya Osama? Utasema huyo alikuwa na mtandao mpana sawa, ni muda gani umepita toka wale mabinti wa Nigeria walivyotekwa shuleni? Na hilo lilikuwa kundi ambalo huwezi kuwasafirisha bila kuwa na nyenzo zakutosha sembuse mtu mmoja ambaye akiwekwa hata kwenye ki ist na tinted mlizokataa zisitolewe kwa mapovu mengi unaweza hata mpitisha barazani kwako na usijue wapo watu wangapi humo! Mtu anayebeza utendaji wa jeshi la polisi as if yeye ni comando ni mnafiki nyuma ya keybord hana lolote! Sifurahii hali hii kutokea ila sipendi mtu kujiona he is above everything.
#hpetoseeyouagainMo
 
Kuna tofauti kati ya hao akina Zakaria na Malima na Mo.

Kwanza mimi hao ndio leo nawasikia kwako. Na Mo sio mhindi ni Mtanzania.

Mo ana impact kubwa sana kwemye jamii ya Tanzania, East Africa na Africa kiujumla. Msitarajie International Community in pull blind eye kwenye hili suala.

Watu watachoka kuvumilia ujinga huu. Tumechoka kabisa haya masuala.
We ndo huwajui kwasababu huko Nanjilinji unapoishi upataji wa habari bado mgumu.

Huyo Zakaria ana impact yake huko ukuriani na ni mwenyekiti wa CCM sijui na alikua mchangiaji mkubwa wa kampeni za Ccm kwa kutoa hela na mabasi yake.

Sasa huyo muhindi hana tofauti yoyote na huyo Zakaria maan wote makada kwanza
 
Habari wana Jamvi, nahesabu usiku na akili inanijuza kuwa ni usiku wa nne sasa, hakuna #updates wala fununu kuhusu huyu jamaa. Ukweli sina ukoo na Mo lakini najikuta nafsi inaniooouma sana.
Natamani kuskia miujiza ila naona matumaini yangu yanafifia na moyoni naingiwa hofu. "Hivi kweli sifa zote tunazopewa jeshi letu limeshindwa kusema japo neno la faraja hadi leo?"

Naanza kuelewa maneno ya baadhi ya watu kuwa....huenda aliyemteka anacheza miguuoo miwili kwenye mechi hii.......NATAMANI AREJEE AKIWA HAI NIIPATE RADHA YA MOVIE.
 
We ndo huwajui kwasababu huko Nanjilinji unapoishi upataji wa habari bado mgumu.

Huyo Zakaria ana impact yake huko ukuriani na ni mwenyekiti wa CCM sijui na alikua mchangiaji mkubwa wa kampeni za Ccm kwa kutoa hela na mabasi yake.

Sasa huyo muhindi hana tofauti yoyote na huyo Zakaria maan wote makada kwanza
Sasa unaananisha mtu mwenye impact ukuriani na mtu mwenye impact kimataifa?

Huyo zakaria anajulikana hata na Forbes? Unafananisha tajiri namba moja Tanzania na upuuzi upuuzi?
 
Habari wana Jamvi, nahesabu usiku na akili inanijuza kuwa ni usiku wa nne sasa, hakuna #updates wala fununu kuhusu huyu jamaa. Ukweli sina ukoo na Mo lakini najikuta nafsi inaniuma sana.
Natamani kuskia miujiza ila naona matumaini yangu yanafifia na moyoni naingiwa hofu. "Hivi kweli sifa zote tunazopewa jeshi letu limeshindwa kusema japo neno la faraja hadi leo?"

Naanza kuelewa maneno ya baadhi ya watu kuwa....huenda aliyemteka anacheza miguu miwili kwenye mechi hii.......NATAMANI AREJEE AKIWA HAI NIIPATE RADHA YA MOVIE.
 
Habari wana Jamvi, nahesabu usiku na akili inanijuza kuwa ni usiku wa nne sasa, hakuna #updates wala fununu kuhusu huyu jamaa. Ukweli sina ukoo na Mo lakini najikuta nafsi inaniuma sana.
Natamani kuskia miujiza ila naona matumaini yangu yanafifia na moyoni naingiwa hofu. "Hivi kweli sifa zote tunazopewa jeshi letu limeshindwa kusema japo neno la faraja hadi leo?"

Naanza kuelewa maneno ya baadhi ya watu kuwa....huenda aliyemteka anacheza miguu miwili kwenye mechi hii.......NATAMANI AREJEE AKIWA HAI NIIPATE RADHA YA MOVIE.
 
Sasa unaananisha mtu mwenye impact ukuriani na mtu mwenye impact kimataifa?

Huyo zakaria anajulikana hata na Forbes? Unafananisha tajiri namba moja Tanzania na upuuzi upuuzi?
Tofauti apo ni chongo na kengeza.

Hakuna cha impact wala ndo tushamsahau ivo..

Uyo akionekana labda Pombe sio Rais wa hii nchii!

Pole sana kama ulikua kibarua wake kwnye MEtl kama vp nyie vibarua wake jiorganize mulianzishe mpaka arudishwe mana katekwa na watu wa Pombe huyo kama ilivokua kwa yule mkurya
 
Masikini.Ila ni dhambi ni dhambi sn.Mungu hapa ndo huwa simwelewi,angekuwa anapiga mapigo zaidi ya farao kila kitu kinakuwa wazi na wahusika wanateketea hadharani
 
Aliyesema waTz tuna ubongo wa kuku au Samaki hakukosea kabisa. Tunasahau haraka sana.
Sijui kwanini?
Mkuu binadamu tumeumbwa kusahau machungu....tusiposahau utakuwa ni ulimwengu wa vilio....kama si kusahau unaweza kukuta mpaka leo tungekuwa tunamlilia sokoine....kabla ya kuanza na mwalimu
 
Mkuu binadamu tumeumbwa kusahau machungu....tusiposahau utakuwa ni ulimwengu wa vilio....kama si kusahau unaweza kukuta mpaka leo tungekuwa tunamlilia sokoine....kabla ya kuanza na mwalimu
Ila watanzania wamezidi kwakweli
 
Mmm mm niteme chakula mmm nimeze moto mmmm ninywe maji niharibu ladha ya chakula waacha muzehe hiyo ngo bharaaaa virananiye eka yeeeee
 
Yani unaweza ugua kichaa kwa kuwazaa...Just imagine Kijana tajiri wa miaka 43 anapotea kiutani utani tuu yanii...!! Aisee inaumizaa Sana.. Means makampuni aliyokuwa anaendesha MO yatakufaa... sijui hao vijana ajira atawapa nani
Kibaya hakuna seriousness yoyote ya viongozi juu ya jambo hili. Hata mataifa ya nje wanatushangaa! Billionaire anatekwa alafu nothing is going on!
 
Babaako anatokea trinidad and tobago?
Hata nchi zilizoendelea hutokea matukio kama haya na si mepesi kuyatatua kama kutafuta kuku ambaye hajarud bandani jion. Labda una akili za kuku kama wachangiaji wengine walivyoainisha, Marekani na miguvu yake yote iliwachukua muda gani kuyafaham maficho ya Osama? Utasema huyo alikuwa na mtandao mpana sawa, ni muda gani umepita toka wale mabinti wa Nigeria walivyotekwa shuleni? Na hilo lilikuwa kundi ambalo huwezi kuwasafirisha bila kuwa na nyenzo zakutosha sembuse mtu mmoja ambaye akiwekwa hata kwenye ki ist na tinted mlizokataa zisitolewe kwa mapovu mengi unaweza hata mpitisha barazani kwako na usijue wapo watu wangapi humo! Mtu anayebeza utendaji wa jeshi la polisi as if yeye ni comando ni mnafiki nyuma ya keybord hana lolote! Sifurahii hali hii kutokea ila sipendi mtu kujiona he is above everything.
#hpetoseeyouagainMo
Hakuna dhamira ya dhati katika kusolve hili tatizo alafu why kukiwa na Kesi za ufisadi na Uhujumu uchumii ndo mambo Kama Haya Hutokea???? Wewe hushtukii mzee umekaa unakomalia kusifiaa ujingaa tuu.... Huwezi sema waliomteka ni wazungu na hukuwepo eneo LA Tukio...Kama uliangalia kwenye CCTV camera ndo ukajua ni wazungu mbona sasa hizo CCTV videos hazipo tenaa zitumike kupata ushahidi?????
 
Hakuna dhamira ya dhati katika kusolve hili tatizo alafu why kukiwa na Kesi za ufisadi na Uhujumu uchumii ndo mambo Kama Haya Hutokea???? Wewe hushtukii mzee umekaa unakomalia kusifiaa ujingaa tuu.... Huwezi sema waliomteka ni wazungu na hukuwepo eneo LA Tukio...Kama uliangalia kwenye CCTV camera ndo ukajua ni wazungu mbona sasa hizo CCTV videos hazipo tenaa zitumike kupata ushahidi?????
Mkuu unavyoongea as if nchi nzima wewe pekee ndo unajua umuhimu wa cctv! Hujawahi kusikia mtu mwenye dhamana ya kutoa habari na maelezo sehem anakataa kuyajibu baadhi ya maswali kwa kigezo cha kuharibu upelelezi? Wewe ni nani hadi ujuzwe kila hatua wanayofikia? Utatuzi wa kesi ki uhalisia sio kama kwenye movie au kina willy gamba na joram kiango au inspecta kwakwa.
 
Mkuu unavyoongea as if nchi nzima wewe pekee ndo unajua umuhimu wa cctv! Hujawahi kusikia mtu mwenye dhamana ya kutoa habari na maelezo sehem anakataa kuyajibu baadhi ya maswali kwa kigezo cha kuharibu upelelezi? Wewe ni nani hadi ujuzwe kila hatua wanayofikia? Utatuzi wa kesi ki uhalisia sio kama kwenye movie au kina willy gamba na joram kiango au inspecta kwakwa.
Aaha kumbe ushahidi was Camera upo kabisaa sasa camera ziliwezaje kuonesha watu zikasindwa kuonesha namba za Gari??? afu Majambazi waliovaa mask wanawezaje kuvaa mavazi yanayoonesha Rangi zao kiasi kwamba ukajua ni wazungu??!! Wewe kaza ubongo uwezavyo ilaa ukweli ni kuwa kuna mchezo unachezwaa...
 
Back
Top Bottom