Dar: Mganga wa kienyeji akutwa na watoto wawili wa familia moja walioibwa na msaidizi wa kazi

Dar: Mganga wa kienyeji akutwa na watoto wawili wa familia moja walioibwa na msaidizi wa kazi

Hapa nawapigia Sarute Maafande wote. Hata Hawa waliodakwa Kwa Hela ya kiwi waachiwe haraka.
 
Daah dunia hii jamani..
Sijui wapo salama kwa asilimia ngapi hao wtt
 
Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuwapata watoto wawili wakiume na wakike nyumbani kwa mganga wa kienyeji anayefahamima kwa jina la Abdulikarim mkazi wa Kimara baruti.

“January 12,2025 tulipata taarifa za kuibwa watoto wawili wadogo mmoja wa kike mwingine wakiume, mmoja Miaka mitano mwingine minne, dada wa kazi kwa kushirikiana na mganga wa kienyeji Kimara walishirikiana kufanya kitendo cha kihalifu kuiba watoto”

Soma: Dada wa kazi atoweka na watoto wawili mara baada ya kwenda dukani

Aidha Watoto wote wamefanyiwa vipimo Afya zao ni njema na wamekabidhiwa kwa wazazi wao wakati shauri la watuhumiwa likisubiriwa kukamilika ili kufikishwa Mahakamani.
Mganga na dada wa kazi wapigwe adhabu kali mno
 
Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuwapata watoto wawili wakiume na wakike nyumbani kwa mganga wa kienyeji anayefahamima kwa jina la Abdulikarim mkazi wa Kimara baruti.

“January 12,2025 tulipata taarifa za kuibwa watoto wawili wadogo mmoja wa kike mwingine wakiume, mmoja Miaka mitano mwingine minne, dada wa kazi kwa kushirikiana na mganga wa kienyeji Kimara walishirikiana kufanya kitendo cha kihalifu kuiba watoto”

Soma: Dada wa kazi atoweka na watoto wawili mara baada ya kwenda dukani

Aidha Watoto wote wamefanyiwa vipimo Afya zao ni njema na wamekabidhiwa kwa wazazi wao wakati shauri la watuhumiwa likisubiriwa kukamilika ili kufikishwa Mahakamani.
Jamani 🙌🏼Kazi ipo
 
Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuwapata watoto wawili wakiume na wakike nyumbani kwa mganga wa kienyeji anayefahamima kwa jina la Abdulikarim mkazi wa Kimara baruti.

“January 12,2025 tulipata taarifa za kuibwa watoto wawili wadogo mmoja wa kike mwingine wakiume, mmoja Miaka mitano mwingine minne, dada wa kazi kwa kushirikiana na mganga wa kienyeji Kimara walishirikiana kufanya kitendo cha kihalifu kuiba watoto”

Soma: Dada wa kazi atoweka na watoto wawili mara baada ya kwenda dukani

Aidha Watoto wote wamefanyiwa vipimo Afya zao ni njema na wamekabidhiwa kwa wazazi wao wakati shauri la watuhumiwa likisubiriwa kukamilika ili kufikishwa Mahakamani.
Hapo kuna watoto wengi sana walioibiwa nahisi.
 
Wale wanaosemaga tuachane na dini za mashariki ya kati, tufuate dini za mizimu ya kiafrika hutawaona humu..
Wangechelewa kidogo kupatikana hao watoto wangeuliwa
 
aisee kuna maafande noma
inawezekana pia ni wananchi walitilia shaka nyendo za mganga wakawatonya mapongo, au pia kupitia tcra , japo hii ya tcra inakuaga limited ukikutana wa wahalifu pro wanasajali line kwaajili yako tu na hawampigii mtu yeyote zaid yako na wenyewe kwa wenyewe wakikamilisha jambo lao wakatupa line unakua na limited call history yenye
 
Back
Top Bottom