Chichi Theboy
JF-Expert Member
- Feb 20, 2015
- 429
- 499
[emoji23][emoji23]mkuu sina ujuvi wowote ila si unajua akili za kuambiwa changanya na zako nimechanganya changanya hapa nimekuta dar hapafai hata kutia maguu tuKumbe wewe unasikia ila bado hujaona basi uje uone usisikileze umbeya wa washamba
Kungekuwa hivyo unadhani panakalika halafu inaonekana we ni mjuvi wa haya mambo.
Basi changanya na hizi ninazokwambia hapa usichanganye za mabaya tu changanya na za mazuri pia[emoji23][emoji23]mkuu sina ujuvi wowote ila si unajua akili za kuambiwa changanya na zako nimechanganya changanya hapa nimekuta dar hapafai hata kutia maguu tu
Kidubuli
Chapa kazi sio kushinda kijiweni unakunywa kahawaLakini mheshimiwa alisema atakaye fika hadi mwezi July bado anaishi Dar basi yeye ni Mwanaume kweli!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nianze tena upya kuchambua makinikia ya darBasi changanya na hizi ninazokwambia hapa usichanganye za mabaya tu changanya na za mazuri pia
Mnataka aje huko ukamshindishe shamba avae madabwada wiki tu awe kapauka kama ajuza si ndio ee,?
Huwajui walio soft weweAcha hizo wewe,mbona mie sijapauka. Cheki nilivyo softView attachment 552648
Huko hapana bwana cheki ajabu hili lingine kutoka dar[emoji117][emoji116]Fanya hivyo unaweza jikuta umeokota Noah chap
Huwajui walio soft wewe
kwa hiyo si wa mikoani tunazingua au
Dar si ndiyo wanaume wanashindia chips mishikaki, maji ya kunywa wanafungiwa plastic maji ya jangwani na kipindupindu hakiishi, Dar ambako maji muda wote ni shida wanaishi kwa kuuziwa maji ya visimaKiukwel dar nimkoa mzuri sana, me nakumbuka mwaka 2015 nilifanya msala mmoja hivi mkoani nikawa nimeenda dar kwabmkubwa wangu aise sikujutia yaaani hela hela niliyokuwa naingiza per day kwawakati ule tena hata bila kujipeleka lesi ilinifanya niipende dar, ukiishi dar karibia vitu vyote vilivyope Tanzania utaviona vyakawaida sana kwamfano wamkoani mtu akipita kashika take away au maji safi mkononi ujue nimgeni nakama nimwenyeji tayar wataanza kukusema vibaya kama hawajakwita shorobaro, ila kwadar nimaisha yakawaida sana aise navingine vingi vyakufanana nahivyo yaani dar kila mtu anaishi awezavyo naatakavyo ilimradi usivunje sheria zanchi2 ila me napapenda dar sana
Sent using Jamii Forums mobile app