DAR mkoa bora zaidi wakuishi Tanzania

Umesema kweli mkuu
 
Nakuelewa sana mkuu
 
Nakuelewa sana mkuu
 
Soma mada kuu kwanza
 
Ulioyasema kuna ukweli kiasi lakini si yote fursa za biashara ni mahali popote kutegemea na nature ya biashara yako. Dsm ina advantage ya kuwa population kubwa(huge market) office nyingi hivyo kutoa urahisi Kama u nataka huduma yoyote pia ni import destination ambayo bidhaa nyingi imported zinafikia. Ila mikoani kunafursa nyingi sana untaped Kama ni mjanja unapiga hela kisenge.
[HASHTAG]#KARIBU[/HASHTAG] MORO MJI KASORO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…