Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Unawashauli vipi wale jamaa wa Fom moja? A.k.a wazee wa yutongHiyo ndio demokrasia ndani ya CHADEMA 👌🏿💪🏿
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawashauli vipi wale jamaa wa Fom moja? A.k.a wazee wa yutongHiyo ndio demokrasia ndani ya CHADEMA 👌🏿💪🏿
Aibuke tu asema alikuwa anazuga Amemwachka LissuMheshimiwa Mbowe hujachelewa huu ndio muda wa kutafakari na kuilinda heshima yako uliyoijenga kwa miaka 21, kwa sasa Chadema ni taasisi kubwa kuliko unavyodhani, tumia busara zilezile kama kawaida yako.
Wamejazana huko Dodoma wamekuja jana na Maigizo ya magari yakagoma, script imebumaUnawashauli vipi wale jamaa wa Fom moja? A.k.a wazee wa yutong
Akishapiga konyagi zake anarahisisha kila kitu.Hata hivyo ana roho ya paka
Wapo wanaambukizana ukimwi tu huko Dodoma sasa hivi.Wamejazana huko Dodoma wamekuja jana na Maigizo ya magari yakagoma, script imebuma
Ila siku ya kutangaza matokeo msianze kulia lia.
Mtalia nyie nyumbu wa Sultan MboweIla siku ya kutangaza matokeo msianze kulia lia.
Aridhi ya nchi imemkubali mh lissuKuna haja washauri wa Mwenyekiti Mbowe kumshauri upya.
======
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Jimbo la Ukonga jijini Dar Es Salaam, Gaston Makweta pamoja na Katibu wa Jimbo hilo Robert Nyambuya wametangaza kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hicho Tundu Lissu katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama kwa ngazi yaTaifa
Soma Pia: Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote
Wakizungumza na wanahabari leo Januari 16,2025 wameeleza sababu kubwa iliyowafanya kuamua kumuunga mkono Lissu ni kutaka kuona mabadiliko ya kweli
katika chama chao ambapo wameeleza kuwa mtu pekee wanayeamimi anaweza kuyaleta ni Tundu Lissu.
Chadema ni balaa, yaani hata Mkutano wa Ukonga umeufunika wa CCM DodomaKuna haja washauri wa Mwenyekiti Mbowe kumshauri upya.
======
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Jimbo la Ukonga jijini Dar Es Salaam, Gaston Makweta pamoja na Katibu wa Jimbo hilo Robert Nyambuya wametangaza kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hicho Tundu Lissu katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama kwa ngazi yaTaifa
Soma Pia: Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote
Wakizungumza na wanahabari leo Januari 16,2025 wameeleza sababu kubwa iliyowafanya kuamua kumuunga mkono Lissu ni kutaka kuona mabadiliko ya kweli
katika chama chao ambapo wameeleza kuwa mtu pekee wanayeamimi anaweza kuyaleta ni Tundu Lissu.
CCM ni chukizo kwa MunguChadema ni balaa, yaani hata Mkutano wa Ukonga umeufunika wa CCM Dodoma
AmenCCM ni chukizo kwa Mungu
Wanaomkubali kimyaaaaaaKuna haja washauri wa Mwenyekiti Mbowe kumshauri upya.
======
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Jimbo la Ukonga jijini Dar Es Salaam, Gaston Makweta pamoja na Katibu wa Jimbo hilo Robert Nyambuya wametangaza kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hicho Tundu Lissu katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama kwa ngazi yaTaifa
Soma Pia: Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote
Wakizungumza na wanahabari leo Januari 16,2025 wameeleza sababu kubwa iliyowafanya kuamua kumuunga mkono Lissu ni kutaka kuona mabadiliko ya kweli
katika chama chao ambapo wameeleza kuwa mtu pekee wanayeamimi anaweza kuyaleta ni Tundu Lissu.
Mnategemea kununua watu, angalieni msije kutapeliwaIla siku ya kutangaza matokeo msianze kulia lia.
Watapeliwe mara ngapi,hela zimeliwa na kura hawapatiMnategemea kununua watu, angalieni msije kutapeliwa
Kwani Mbwoooye mwnyw anasemaje,,🤷Kuna haja washauri wa Mwenyekiti Mbowe kumshauri upya.
======
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Jimbo la Ukonga jijini Dar Es Salaam, Gaston Makweta pamoja na Katibu wa Jimbo hilo Robert Nyambuya wametangaza kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hicho Tundu Lissu katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama kwa ngazi yaTaifa
Soma Pia: Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote
Wakizungumza na wanahabari leo Januari 16,2025 wameeleza sababu kubwa iliyowafanya kuamua kumuunga mkono Lissu ni kutaka kuona mabadiliko ya kweli
katika chama chao ambapo wameeleza kuwa mtu pekee wanayeamimi anaweza kuyaleta ni Tundu Lissu.