DAR: Mkutano Mkuu wa Jimbo la Ukonga Watangaza kumkataa Mbowe na kumuunga mkono Lissu

Aridhi ya nchi imemkubali mh lissu
 
Chadema ni balaa, yaani hata Mkutano wa Ukonga umeufunika wa CCM Dodoma
 
Wanaomkubali kimyaaaaaa

Hamjifunzi tu?
 
Mbowe ni kiumbe wa ajabu zaidi ulimwenguni, kati ya heshima na kuaibika, ye kaamua kuchagua kuaibika.
 
Kwani Mbwoooye mwnyw anasemaje,,🀷
 
Mbowe atakuwa very lonely kama atapora uchaguzi na kushinda kijanja. Amepoteza kabisa support ya majembe yote kundini pamoja na wadau muhimu kama TLS

Sikio la kufa halisikii dawa though na kama akipigwa kwenye sanduku la kura, somehow heshima yake kidogo iliyobaki itaporomoka kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…