Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,869
- 14,501
Nae hakuna analojua, Kuna tofauti kubwa sana ya landslide na mudflowRC wa Manyara jana kasema kulitokea land slide huko milimani ikafunika kijiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nae hakuna analojua, Kuna tofauti kubwa sana ya landslide na mudflowRC wa Manyara jana kasema kulitokea land slide huko milimani ikafunika kijiji
Kuna wale 6 hujawasikia?Tunapigwa na kitu kizito chenye ncha kali, nani yuko nyuma ya haya mambo
Yaani ndani ya wiki mbili death toll ni 14+15+1+1+60+8 baki ya huko mahospitalini
- Ajali ya Baraka Lindi watu 14
- Ajali ya Allys Manyoni watu 15
- Polisi kuua mlinzi Sinza
- Polisi kuua mjasiliamali Iringa
- Land slide Hanang watu 60+
- Moto mkubwa kwa Komba Mbezi
- Watu 8 wafa kwa mafuriko Tanga
- Jazieni mengine
Mbezi kwa Komba na stendi mpya ya Mwenge!? Mbona haijakaa vizuri, katikati kuna kambi ya Lugalo moto umeruka!Kuna moto mkubwa pale Mbezi kwa Komba.
---
Moto ambao bado chanzo chake hakijafahamika umeteketeza baadhi ya maduka yaliyopo hatua chache kutoka Stendi mpya ya Mwenge Jijini Dar es salaam.
Wakati wakiendelea kusubiri Jeshi la Zimamoto kuwasili, @AyoTV_ ambayo ipo eneo la tukio imeshuhudia baadhi ya Mashuhuda wakifanya jitihada za kuuzima moto huo ambao hata hivyo umeonekana kuwazidi nguvu bila mafanikio.
Bado haijajulikana idadi ya maduka yaliyoteketea ama kiwango cha hasara
bali ni nini?Ile sio landslide bana
Itafika bila maji. Au mipira imetobokaFire itafikakweli maeneo hayo?
Uzembe.Tunapigwa na kitu kizito chenye ncha kali, nani yuko nyuma ya haya mambo
Yaani ndani ya wiki mbili death toll ni 14+15+1+1+60+8 baki ya huko mahospitalini
- Ajali ya Baraka Lindi watu 14
- Ajali ya Allys Manyoni watu 15
- Polisi kuua mlinzi Sinza
- Polisi kuua mjasiliamali Iringa
- Land slide Hanang watu 60+
- Moto mkubwa kwa Komba Mbezi
- Watu 8 wafa kwa mafuriko Tanga
- Jazieni mengine
Aidha wamechoka au wameanza kuzoea majanga. Vyote ni dalili mbaya.Ndio mara ya kwanza kuona raia wanashangaa shangaa na kupiga story kama wanaota moto...Ingekuwa sehemu nyingine wangejitahidi kuuzima na hapo pangekuwa na heka heka kibao kuuzima
Pale wanaopaswa kuwaanvakia raia wanapowaangamiza kiuchumi kwa.....Kuna moto mkubwa pale Mbezi kwa Komba.
---
Moto ambao bado chanzo chake hakijafahamika umeteketeza baadhi ya maduka yaliyopo hatua chache kutoka Stendi mpya ya Mwenge Jijini Dar es salaam.
Wakati wakiendelea kusubiri Jeshi la Zimamoto kuwasili, @AyoTV_ ambayo ipo eneo la tukio imeshuhudia baadhi ya Mashuhuda wakifanya jitihada za kuuzima moto huo ambao hata hivyo umeonekana kuwazidi nguvu bila mafanikio.
Bado haijajulikana idadi ya maduka yaliyoteketea ama kiwango cha hasara
Nami nasubiri jibu la hili swali.Mbezi kwa Komba na stendi mpya ya Mwenge!? Mbona haijakaa vizuri, katikati kuna kambi ya Lugalo moto umeruka!
WepiKuna wale 6 hujawasikia?
Nauli juu mishahara kiduchuBandari kupewa Waarabu..
TANESCO kusuasua ...
Makonda karudi...
Chalamila kutaka tumkome kama ziwa la mama zetu..
Naibu wa wizara ya katiba kufanya ukatili wa kutisha...
Jangwani hakupitiki..
Watoto wetu hawapendi wala kujuwa masomo ya hesabu na sayansi..
Petroli bei juu, chakula na mahitaji bei juu..
Mvua yatutoa show na miundo mbinu bomu...
Viongozi bata, magari ya kifahari na nyumba za kufa mtu, raia tutajijuwa...
Laana ya nchi hii kwani huijui mkuu!??Hii nchi itakuwa imepigwa laana
Mkiona dalili hizo mjue Ule mwisho umekaribia 😂🔥Huku mafuriko ya tope, huku moto utasikia mara tetemeko hapo ndipo ujue yajayo.ni magumu zaifi.
Dakika 0 tu si wapo pale Lugalo kambini 😃Zimamoto na 'UOKOZi' walifika baad ya masaa ngapi?
Radi iliyopiga mara 3 huko MtwaraWepi
Habari ya kuambiwa hii , mtu unapost kitu usichokuwa ba uhakika nacho, mwisho wa siku unapost uongo.Kuna moto mkubwa pale Mbezi kwa Komba.
---
Moto ambao bado chanzo chake hakijafahamika umeteketeza baadhi ya maduka yaliyopo hatua chache kutoka Stendi mpya ya Mwenge Jijini Dar es salaam.
Wakati wakiendelea kusubiri Jeshi la Zimamoto kuwasili, @AyoTV_ ambayo ipo eneo la tukio imeshuhudia baadhi ya Mashuhuda wakifanya jitihada za kuuzima moto huo ambao hata hivyo umeonekana kuwazidi nguvu bila mafanikio.
Bado haijajulikana idadi ya maduka yaliyoteketea ama kiwango cha hasara