Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maghayo ndugu yangu ulivyokua unatoka huku Kilwa kivinje ulikua na Bima ipi...Bima italipa
Lakini daslm wengi mnaishi Mkoani ni vile tu hamjajua...mnapaka rangi eti Nje kidogo ya daslm ni mkoa mwingine huo wa Pwani..Unaripoti tukio kishamba sana, wa mkoani wewe bila shaka
Huyu Mwanashheria njaa anaripoti tukio kishamba sana, wa mkoani huyu bila shaka.
We ni mpuuzi ,mi nilikua na drive kimeo changu toka kuhemea nisimame iweje sasa kkenge wewe?;Unaripoti tukio kishamba sana, wa mkoani wewe bila shaka
Huyu Mwanashheria njaa anaripoti tukio kishamba sana, wa mkoani huyu bila shaka.
Laana inasababishwa na nyie pamoja na ccmHii nchi itakuwa imepigwa laana
Hivi unajitambua?Ndio mara ya kwanza kuona raia wanashangaa shangaa na kupiga story kama wanaota moto...Ingekuwa sehemu nyingine wangejitahidi kuuzima na hapo pangekuwa na heka heka kibao kuuzima
Mioto miwiliInamaana mwenge na tangibovu kote Moto au[emoji849]
Ndio, mtoa mada hakulifafanua vizuri..Mwemge moto umeteketeza na maduka na hapo Tangibovu Kwa komba kiwanda cha fenicha kimeungua motoInamaana mwenge na tangibovu kote Moto au[emoji849]
Nani anataka chokochoko na MPsMbezi kwa Komba na stendi mpya ya Mwenge!? Mbona haijakaa vizuri, katikati kuna kambi ya Lugalo moto umeruka!
Naogopa kusema mods watanipiga life ban tangu nlisemaga tz walijichanganya kuweka tangatanga sibagui sichagui ateyenifilisi simjuilaana ya bi ushungi.Ye yuko tu anazurura dubai
moto mwingine mwenge jana hiyo hiyoTunapigwa na kitu kizito chenye ncha kali, nani yuko nyuma ya haya mambo
Yaani ndani ya wiki mbili death toll ni 14+15+1+1+60+8 baki ya huko mahospitalini
- Ajali ya Baraka Lindi watu 14
- Ajali ya Allys Manyoni watu 15
- Polisi kuua mlinzi Sinza
- Polisi kuua mjasiliamali Iringa
- Land slide Hanang watu 60+
- Moto mkubwa kwa Komba Mbezi
- Watu 8 wafa kwa mafuriko Tanga
- Jazieni mengine
Ndiyo style inayotumika sahviHio ni mbinu inaitwa "Makala kala Theory"
Mkubwa akitaka eneo ikawa mnakaza ubongo kifuatacho panapigwa nali tu. Pakizimwa mnapigwa ban kupagusa inaundwa tume ya uchunguzi kisha biashara imeisha. Ndio mshaondolewa hivyo.