Dar: Moto mkubwa wazuka Mbezi Tangi Bovu

Ndio mara ya kwanza kuona raia wanashangaa shangaa na kupiga story kama wanaota moto...Ingekuwa sehemu nyingine wangejitahidi kuuzima na hapo pangekuwa na heka heka kibao kuuzima
Hivi unajitambua?
 
Huu moto wa Dar unapenda walipo wafanya biashara tu?
 
Hio ni mbinu inaitwa "Makala kala Theory"

Mkubwa akitaka eneo ikawa mnakaza ubongo kifuatacho panapigwa nali tu. Pakizimwa mnapigwa ban kupagusa inaundwa tume ya uchunguzi kisha biashara imeisha. Ndio mshaondolewa hivyo.
 
moto mwingine mwenge jana hiyo hiyo
 
Hio ni mbinu inaitwa "Makala kala Theory"

Mkubwa akitaka eneo ikawa mnakaza ubongo kifuatacho panapigwa nali tu. Pakizimwa mnapigwa ban kupagusa inaundwa tume ya uchunguzi kisha biashara imeisha. Ndio mshaondolewa hivyo.
Ndiyo style inayotumika sahvi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…