Na msafara wake wa kufa mtu! Anajuwa kuteketeza hela ya nchi HATARIII...π’π’π’π’π’laana ya bi ushungi.Ye yuko tu anazurura dubai
Wameamua kuumaliza mwakamoto mwingine mwenge jana hiyo hiyo
Sawa ngoja tukaeditRadi iliyopiga mara 3 huko Mtwara
CHADEMA NDIYO WANALETA LAANA HAPA NCHINIlaana ya bi ushungi.Ye yuko tu anazurura dubai
Kwahiyo ulikuwa unawahi kuripoti wa kwanza JF haraka haraka mno huku una drive au sio mkuu.We ni mpuuzi ,mi nilikua na drive kimeo changu toka kuhemea nisimame iweje sasa kkenge wewe?;
Nauita Moto wa Kimkakati na Mission ya Kibiashara na Jambo la Bima kuwa Accomplished. Sihitaji kuulizwa Swali lolote tafadhali..Kuna moto mkubwa pale Mbezi kwa Komba.
---
Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umezuka katika eneo la wafanyabiashara wa samani, lililopo Tangi Bovu-Kwa Komba, mkoani Dar es Salaam, huku ikidaiwa kuwa moto huo umeanza majira ya saa nne usiku ambapo uliendelea kuteketeza mali katika eneo hilo hadi majira ya saa sita usiku
View attachment 2833467