Dar Mpya: Mawaziri na wabunge wako nyuma ya Umoja Party. Wengi watiifu kwa hayati Magufuli

Dar Mpya: Mawaziri na wabunge wako nyuma ya Umoja Party. Wengi watiifu kwa hayati Magufuli

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Umoja Party.jpg

Taa zimeshawaka kwenda 2025, kama ni kweli basi kuna kambi imeona ni vigumu kutoboa ndani ya chama hivyo wameona wabadili upepo. Walioshika hatamu chamani ni wazoefu wa Siasa na Umoja Party inaweza kula 'keleb' kwenye ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Anyways, kanda ya ziwa hiyo inarudi zake upinzani, atakayecheza karata vizuri ataipata.
 
Hivi kina Membe na Nape walipokimbilia kuanzisha ACT walivurugwa na nini CCM?

Hao jamaa naamini kweli wapo, lakini tatizo linaanzia pale ambapo mara nyingi huwa waoga wa kuweka nia zao wazi, hujificha.

Na huku kujificha kwao naona huchangiwa na tamaa tu, wanatega kutafuta vyeo, wakishavipata wanaachana na mipango yao ya kuanzisha hivi vyama niviite vyama "njaa" na "hasira", wala sio phylosophy kama wanavyosema, ndio maana mara nyingi huwa havi exist, hujifia natural death.

ACT chenyewe hakikufa kwasababu yule msaliti wao waliyemtengeneza toka akiwa Chadema, aliendelea mbele baada ya kujifukuzisha Chadema akakitafutia usajili, ndio akajiita "supreme leader" ila kama naye angeupata ule uenyekiti aliokuwa anautaka Chadema, naamini hiyo ACT nayo leo hii isingekuwepo.
 
Hivi kina Membe na Nape walipokimbilia kuanzisha ACT walivurugwa na nini CCM?

Hao jamaa naamini kweli wapo, lakini tatizo linaanzia pale ambapo mara nyingi huwa waoga wa kuweka nia zao wazi, hujificha.

Na huku kujificha kwao naona huchangiwa na tamaa tu, wanatega kutafuta vyeo, wakishavipata wanaachana na mipango yao ya kuanzisha hivi vyama niviite vya "njaa" na "hasira", ndio maana mara nyingi huwa havi exist, hujifia natural death.

ACT chenyewe hakikufa kwasababu yule msaliti wao waliyemtengeneza toka akiwa Chadema, aliendelea mbele baada ya kujifukuzisha Chadema akakitafutia usajili, ndio akajiita "supreme leader" ila kama naye angeupata ule uenyekiti aliokuwa anautaka Chadema, naamini hiyo ACT nayo leo hii isingekuwepo.
Kule Chadema alitaka kupandisha mabega wakamnyoosha🤣🤣
 

Taa zimeshawaka kwenda 2025, kama ni kweli basi kuna kambi imeona ni vigumu kutoboa ndani ya chama hivyo wameona wabadili upepo. Walioshika hatamu chamani ni wazoefu wa Siasa na Umoja Party inaweza kula 'keleb' kwenye ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Anyways, kanda ya ziwa hiyo inarudi zake upinzani, atakayecheza karata vizuri ataipata.
Sukuma Gang na chama chao.
Sii mbaya aje tupambane na CCM.
Tutawapigachini mchana kweupe.

Wasizisahau tu sera za Magufuli, ukabila, wizi, upendeleo na utekaji.
Sukuma Gang mumuenzi Magufuli tu kwa hizo sera hasi, na mtaishia shimoni-kama yeye.
 
CCM ina mizizi mirefu mno, CCM wanalindwa na Dola, CCM wana nguvu ya msajili wa vyama, CCM wanalindwa na mkurugenzi wa uchaguzi, CCM wamefanikiwa kupandikiza woga kwa watanzania WOTE! Hivyo hata kije chama gani, bure tu!
CCM sio li-dude au li-mashine furani complex. Ni watu tuu walioji'organize tangia hapo na Watu ni binadamu na binadamu hubadirika
 
Back
Top Bottom