Dar Mpya: Mawaziri na wabunge wako nyuma ya Umoja Party. Wengi watiifu kwa hayati Magufuli

Dar Mpya: Mawaziri na wabunge wako nyuma ya Umoja Party. Wengi watiifu kwa hayati Magufuli

Hivi kina Membe na Nape walipokimbilia kuanzisha ACT walivurugwa na nini CCM?

Hao jamaa naamini kweli wapo, lakini tatizo linaanzia pale ambapo mara nyingi huwa waoga wa kuweka nia zao wazi, hujificha.

Na huku kujificha kwao naona huchangiwa na tamaa tu, wanatega kutafuta vyeo, wakishavipata wanaachana na mipango yao ya kuanzisha hivi vyama niviite vyama "njaa" na "hasira", wala sio phylosophy kama wanavyosema, ndio maana mara nyingi huwa havi exist, hujifia natural death.

ACT chenyewe hakikufa kwasababu yule msaliti wao waliyemtengeneza toka akiwa Chadema, aliendelea mbele baada ya kujifukuzisha Chadema akakitafutia usajili, ndio akajiita "supreme leader" ila kama naye angeupata ule uenyekiti aliokuwa anautaka Chadema, naamini hiyo ACT nayo leo hii isingekuwepo.
Hiyi tabia ya kuabudu mizimu ili nawakati ...ngoja ..ngoja tuone intakuwaje
 
Mkuu unamaanisha ndicho kinachoenda kutokea!!?na FDR ataingia KWA style hiyo!!?una maana uchaguzi wa 2025 haupo Hadi katiba izinduliwe 2026 ndio uchaguzi utatangazwa!!!? NASUBIRI!asante!!ina Maana yale maagizo 35 aliyopewa kinyonga ndani ya garberon room number 26 hatotimiza sio!!!?
Jifunze nn kilitokea hapo jirani. Kwa KATIBA Ile Ile Moi alitangaza kuwa hayupo wa kuingia KANU, upinzani ulitoka ndani ya chama na Serikali yake KIKAFA. Katiba wamekuja kuandikwa badaeMu
 
Mkuu unamaanisha ndicho kinachoenda kutokea!!?na FDR ataingia KWA style hiyo!!?una maana uchaguzi wa 2025 haupo Hadi katiba izinduliwe 2026 ndio uchaguzi utatangazwa!!!? NASUBIRI!asante!!ina Maana yale maagizo 35 aliyopewa kinyonga ndani ya garberon room number 26 hatotimiza sio!!!?
Hizi ni ndoto tu na maoni binafsi. Kwa kusoma vitabu na kupata maono, yaeza kuwa au isiwe. Don't take it serious.
 
Hizi ni ndoto tu na maoni binafsi. Kwa kusoma vitabu na kupata maono, yaeza kuwa au isiwe. Don't take it serious.
KINYONGA wa KIJANI na MANJANO ni chama Wala Si mtu. Hayo pia ni maono niliyoyaona zamani. Kinyonga alianguka akafa tumbo likapasuka bt mayai aliyobeba pia hayakuweza kuwa watoto sababu muda wa mayai kukomaa haukuwa umefika
 
Ushauri Umoja Party kisibebe umagufuli Bali kichukue BAADHI ambayo yanakubalika na wengi na yenye utata yaachwe.

Ili kupata wafuasi wenye hamu ya mambo mapya ni vema mkae na kubuni matakwa ya watanzania.
 

Taa zimeshawaka kwenda 2025, kama ni kweli basi kuna kambi imeona ni vigumu kutoboa ndani ya chama hivyo wameona wabadili upepo. Walioshika hatamu chamani ni wazoefu wa Siasa na Umoja Party inaweza kula 'keleb' kwenye ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.

Anyways, kanda ya ziwa hiyo inarudi zake upinzani, atakayecheza karata vizuri ataipata.
Nchi hii Ina MAHAYAWANI wengi sana. Eti "Watiifu wa Magufuli'. Yaani akina Polepole, Bashiru, Dr Slaa, Luhaga Mpina wanakuwa wanautii mzoga tulioufukia Chato?? Insane
 
Back
Top Bottom