Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

Kuna kitu kimoja sijaelewa hata kama ni hao wauwaji wa kwenye Noa kama inavyosemekana ndio waende watupe mwili kwenye sehemu ambayo wao boda boda wanapaki piki piki zao!!???
hii haiingii akilini mara nyingi wauwaji hutupa miili sehemu ambazo hawaonekani!!??
 


Huyu mama ameokotwa Mkoani Dar es Salaam njia panda ya ITV akiwa kauliwa, wewe Mambosasa ni RPC wa kanda Maalum , tunaamini unao uwezo wa kuwasaka wauaji na kuwakamata kama ufanyavyo kwa wahalifu wengine, ama basi toa kauli ili tufahamu unachokifahamu kwenye hili.

Marehemu Lwajabe alipokutwa Mkoa wa Pwani huko Mkuranga huku mwili wake ukiwa umetundikwa juu ya mti ukiwa ndani ya jezi mpya ya timu ya Chelsea , ambayo hakuwahi kuwa nayo nyumbani kwake.

Kamanda Mambosasa ulijitokeza na kutoa Taarifa kwamba Ndugu Lwajabe alijinyonga, tena wala haikupita muda mrefu japo tulishangaa kwanini taarifa ile hakutoa RPC wa Pwani ila ukatoa wewe! sasa leo kuna jambo ndani ya eneo lako kabisa yaani lakini ni kama haupo, tunaomba maelezo yako mkuu kama ulivyoyatoa kwingine.

Ni hayo tu kwa leo
 
Hivi hujui kuwa Mungu pia ni nafsi? Vp naye ataonja mauti???

Toka huko gizani mkuu!

YESU NI MWOKOZI
Hizi Imani hizi ni vema kila mtu akaamini kivyake...., Hivi kwa mujibu wa Kitabu chako Yesu Hakusurubiwa ? Yaani it is written kwamba alikufa siku ya tatu Akafufuka ?, Au wewe ulielewaje ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…