Wewe na Rais wa nchi ni Nani mwenye uwezo wa kupata taarifa sahihi na kwawakati?Hili ni tatizo kubwa lakini naona wabongo tunafanya utani.... wazungu wanasema "Until it happens to you", kama una muda soma hapa
Unataka nicheke niomekane ninazarauNyege zamponza [emoji15], tujifunze uvumilivu walahi [emoji35]
Hivi hapo daslamu malaya wa kike na kiume walivyojaa namna hiyo,bado kuna watu mnafanya hizo mambo?Umuhimu wa chama cha chaputa kikiongozwa na popoma GENTAMYCINE ndio unapoonekana.
Mwalimu wa Shule ya Global International, Daniel Chacha (26) amekutwa na hatia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka 6 aliyekuwa mwanafunzi wa shule hiyo iliyopo Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Mara baada ya kusomewa hukumu hiyo, Chacha alitakiwa kujitetea lakini alidondoka na kupoteza fahamu Mahakamani, akabebwa na askari magereza waliompatia huduma ya kwanza kumzindua.
Pia soma:
Video: Mwalimu anayetuhumiwa Kulawiti, Kubaka Watoto wa Shule ya Msingi asomewa MASHITAKA 6 MAHAKAMANI
Kinondoni: Tuhuma za Mwalimu kulawiti na kubaka watoto wa Shule ya Msingi, Waziri atoa siku 7 za uchunguzi
Mimi pia nimehsi ktu labda jamaa alikua na mazoea nao kama wanafunz wake afu kesi ikatokea wakamtafta wa kumtwisha zigowanafunzi,watoto sitaki mazoea naa kabisa.
Kama jamii we need to help the cureWawachek wataalamu wa tiba za kiroho Ili kuiondoa ile nguvu ya ushoga
Huenda imani za kishirikina zinahusika.Fantasy za kipumbavu sana hizi.
Mtoto wa miaka sita unapata raha gani kumlala?
Haya majitu wangekuwa wanakata dushe na kusagasaga pumbu halafu wanayaachia yarudi kujitafutia chakula yenyewe. Sasa tutalilisha maisha yake yote utadhani rais.Hukumu imeukonga moyo wangu.
Ninamsikitikia sana mtoto aliyetendewa unyama. Nilitamani Hakimu atoe order mtoto apate tiba ya kisaikolojia maana tayari huyo shetanimtu ameshamharibia mazingira ya akili zake.
Healing proccess kwa victims ni bora sana kuliko chochote
Taarifa ambazo hata wao wenyewe walishindwa kujitetea nazo! Soma hukumu ya kesi uoneWewe na Rais wa nchi ni Nani mwenye uwezo wa kupata taarifa sahihi na kwawakati?
Unajua tatizo ni nini? Usimba tu yaani kichwa cha chini kikisimama kichwa cha juu kwisha habari yake na baada ya wazungu kutoka ndipo akili zinakujia na kilioAisee! Cha kushangaza adhabu zote hizi hazijawahi kuwa muarobaini cha zaidi kila kukicha watu wanayarudia hayo hayo.
Ipo haja ya baadhi ya Me kujitahidi kukidhibiti hicho kichwa cha dauni aisee sababu ni kama kimewashinda hali ambayo wengi wao huwa inawaletea majuto baadae.Unajua tatizo ni nini? Usimba tu yaani kichwa cha chini kikisimama kichwa cha juu kwisha habari yake na baada ya wazungu kutoka ndipo akili zinakujia na kilio
Mkuu mtu kama huyo haifa azimie maisha yampasa na yeye ajutie huo ujinga alioufanya ili siku akirudi uraiani amezeeka na hana pa kuanzia awe na kumbukumbu nzuri kwamba kuna baadhi ya mambo hayafai kabisa kufanyika katika jamii.Na yeye angewakomoa hapo alipozimia; angezimia maisha!