Dar: Mwalimu wa aliyetuhumiwa kulawiti mtoto wa miaka 6 azimia baada ya kuhukumiwa jela maisha

Hili ni tatizo kubwa lakini naona wabongo tunafanya utani.... wazungu wanasema "Until it happens to you", kama una muda soma hapa
Wewe na Rais wa nchi ni Nani mwenye uwezo wa kupata taarifa sahihi na kwawakati?
 
 
Hivi mwanaume inakuwaje hata ubake mtoto ?
Vaseline hakuna?
Sabuni hakuna?
Shuka hakuna?
Mate yameisha mdomoni?

Zipo mbinu nyingi za kujisaidia kukitoa na stress za genye.

Ujinga kabisa.
 
Matumizi sahihi ya fahamu ndiko kunako muweka mwanadamu mbali na wanyama mwituni.......

Mwanadamu yoyote aliyeachana au kupoteza udhibiti wa fahamu wa zake hana tofauti na wanyama wa porini na hafai kuishi kwenye jamii za wanadamu wengine

Kamwe mwanadamu hawezi kubakia salama kwa kuachana na matumizi ya fahamu zake na kuamua kufuata matakwa ya nafsi.....sisi sote tuwadhaifu na nyakati fulani tunaanguka katika matamanio ya matakwa ya nafsi......lakini fahamu zetu zinatukataza kuyatenda hayo........

Watu wapo jela, wapo waliopata vilema, wapo watu waliolazimika kuhama miji na wapo watu walioaga Dunia kwa kuwa tu wameshindwa KUDHIBITI nafsi zao juu ya matamanio..........

Mungu atuzidishie ustahimilivu na ufahamu katika kupambana na nguvu ya matamanio ili tuepuke majuto ya muda mrefu maishani mwetu.....


MTU ISIPOMFAA AKILI YAKE BASI UTAMDHURU UJINGA WAKE.......



....
 
Haya majitu wangekuwa wanakata dushe na kusagasaga pumbu halafu wanayaachia yarudi kujitafutia chakula yenyewe. Sasa tutalilisha maisha yake yote utadhani rais.
 
Aisee! Cha kushangaza adhabu zote hizi hazijawahi kuwa muarobaini cha zaidi kila kukicha watu wanayarudia hayo hayo.
Unajua tatizo ni nini? Usimba tu yaani kichwa cha chini kikisimama kichwa cha juu kwisha habari yake na baada ya wazungu kutoka ndipo akili zinakujia na kilio
 
kungekua na sheria mijitu kama hii ipigwe shaba uwanja wa taifa mtoto wa miaka sita unamuharibu wakati misho hapa mjini imejaa tele funza mkubwa acha akatatuliwe segerea
 
Unajua tatizo ni nini? Usimba tu yaani kichwa cha chini kikisimama kichwa cha juu kwisha habari yake na baada ya wazungu kutoka ndipo akili zinakujia na kilio
Ipo haja ya baadhi ya Me kujitahidi kukidhibiti hicho kichwa cha dauni aisee sababu ni kama kimewashinda hali ambayo wengi wao huwa inawaletea majuto baadae.
 
Alitakiwa na yeye wamlawiti kabla ya kumfunga maisha nyambaf wanawake wamejaa hadi wa buku jero anaenda kulawiti pumbaf sana huyo mwalimu shenzy kabisa
 
Na yeye angewakomoa hapo alipozimia; angezimia maisha!
Mkuu mtu kama huyo haifa azimie maisha yampasa na yeye ajutie huo ujinga alioufanya ili siku akirudi uraiani amezeeka na hana pa kuanzia awe na kumbukumbu nzuri kwamba kuna baadhi ya mambo hayafai kabisa kufanyika katika jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…